Mdogo wangu ana kipaji cha kumwigiza Rais Samia

Mdogo wangu ana kipaji cha kumwigiza Rais Samia

Na yule mdogo wako mwingine wa USA Baby ameshaenda ama ndo huyu huyu๐Ÿคญ๐Ÿ˜๐Ÿƒ
 
CCM hawawezi kuipokea video hii maana hilo darasa linawatukana..

Miaka 60 ya uhuru tizama hiyo floor.!!!
 
mwambie asome aache upuuzi, kumuigiza mtu inamsaidia nini? kwani yule magufuli wa njombe aliishia wapi? acheni ujinga
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mwambie ajiunge na chilukizi ccm awe anaambatana na chipukizi wenzie kina steve nyerere na mwijaku.
 
Ukitazama hali ya ilo darasa ni wazi iyo shule ina mazingira duni, na walimu walivyo wajanja wame mrekodi huyu dogo ili SSH akiiona. Atafungua pochi lake na kuwa karabatia skuli ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ walimu ni wajanja sanaa
 
Mwenyekiti Yuko jela atafutwe wa kuigiza sauti yake maana Saccos imepoa Sana.
 
Back
Top Bottom