Anakuja Yesu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 564
- 485
Mapendo jamani.... Amina.
Wakuu nina mdogo wangu wa kiume (15 years) ametoka Mwanza amekuja Dar kusoma short course ya Sound Engineering pale Ilala.
Sasa tangu amefika nimeona mambo ya kiaina mpaka nashangaa...
Ni hivi............
1. Anapenda kula matapishi yake. Yaani akimaliza kula chakula, anaingiza kidole mdomoni anajichokonoa anatapikia kwenye sahani then anaanza kula matapishi hadi anamaliza.
2. Anapenda kujichokonoa uchafu na makamasi ya pua, halafu analamba kidole.
3. Anapenda kuchokonoa nta za masikio kwa njiti za kibiriti then analamba vijiti.
4. Ukimpa chai lazima atemee mate kwenye kikombe ndio aanze kunywa.
5. Akimwona mtoto ana makamasi puani anamkimbilia na kunyonya makamasi yale mpaka yanaisha.
Nimegundua hayo baada ya kukaa nae kwa takribani week mbili sasa.
Wakuu, huu ni ugonjwa ama nini.. Nifanyeje.... Nimpeleke hosp, nimpe nauli arudi Mwz ama..
Ndimi Mtumishi Mcharo
mganga hajigangiNipe ushauri mwingine tuu.....
Mimi mwenyewe mtumishi.... halafu nimpeeke kwa mtumishi tena, kujidhalilisha huko
Binge ya aina gani hyo dakitariDu dalili kama za mgonjwa mwenye BINGE.
Mapendo jamani.... Amina.
Wakuu nina mdogo wangu wa kiume (15 years) ametoka Mwanza amekuja Dar kusoma short course ya Sound Engineering pale Ilala.
Sasa tangu amefika nimeona mambo ya kiaina mpaka nashangaa...
Ni hivi............
1. Anapenda kula matapishi yake. Yaani akimaliza kula chakula, anaingiza kidole mdomoni anajichokonoa anatapikia kwenye sahani then anaanza kula matapishi hadi anamaliza.
2. Anapenda kujichokonoa uchafu na makamasi ya pua, halafu analamba kidole.
3. Anapenda kuchokonoa nta za masikio kwa njiti za kibiriti then analamba vijiti.
4. Ukimpa chai lazima atemee mate kwenye kikombe ndio aanze kunywa.
5. Akimwona mtoto ana makamasi puani anamkimbilia na kunyonya makamasi yale mpaka yanaisha.
Nimegundua hayo baada ya kukaa nae kwa takribani week mbili sasa.
Wakuu, huu ni ugonjwa ama nini.. Nifanyeje.... Nimpeleke hosp, nimpe nauli arudi Mwz ama..
Ndimi Mtumishi Mcharo
Mpeleke kwa gwajima
MhGwajima atamfuga, yule ni bingwa wa kufuga misukule. Atakaa naye miaka na miaka mpaka asahaulike, baada ya miaka 15 utasikia kamfufua msukule, kumbe alimficha Mwabepande miaka yote hiyo.
Wewe bado..mpeleke kwa Gwajima chapuuuMimi mwenyewe mtumishi.... halafu nimpeeke kwa mtumishi tena, kujidhalilisha huko