Mdogo wangu anapenda kula mananihii... Hii ikoje wadau!!

Je!!mkojo wake hanywi?mwache ni aina ya mtu nae anataka kuwa wa pekee.

Mwambie aendeleze kipaji, wadhungu wakimwona watamchukua ataenda ulaya
 
Duh naomba nipite tuuuu. Huo sio ugonjwa ni something else!
 
This is too much of an exaggarated awkward story.
You are sick!
 

Mpeleke kwa Askofu mkuu wa Kanisa la uzima na Ufufuo.. GWAJIMA
 
unaleta utani kwenye majukwaa serious umeshindwa kuandika utunzi kwny vitu vingine mpk ututtapishe hapa?
 
hii ni kweli au its just a joke?

sijawahi ona wala sikia hii
 


Basi huyo atakuwa kachezewa na wasukuma wenzake toka huko huko Mwanza ili asifanikishe harakati zake, kwa kuwa wewe ni Padre, yakubidi umuombee atokwe na nguvu za giza.
 
pole sana kaka huyo atakua anatatizo la psychology so cha msingi mpeleke hospital akaonane na madaktar wa magonjwa ya akil atasaidiwa tatizo lake usichelewe

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…