Mdogo wangu anapenda kula mananihii... Hii ikoje wadau!!

Mdogo wangu anapenda kula mananihii... Hii ikoje wadau!!

Mapendo jamani.... Amina.

Wakuu nina mdogo wangu wa kiume (15 years) ametoka Mwanza amekuja Dar kusoma short course ya Sound Engineering pale Ilala.

Sasa tangu amefika nimeona mambo ya kiaina mpaka nashangaa...
Ni hivi............

1. Anapenda kula matapishi yake. Yaani akimaliza kula chakula, anaingiza kidole mdomoni anajichokonoa anatapikia kwenye sahani then anaanza kula matapishi hadi anamaliza.

2. Anapenda kujichokonoa uchafu na makamasi ya pua, halafu analamba kidole.

3. Anapenda kuchokonoa nta za masikio kwa njiti za kibiriti then analamba vijiti.

4. Ukimpa chai lazima atemee mate kwenye kikombe ndio aanze kunywa.

5. Akimwona mtoto ana makamasi puani anamkimbilia na kunyonya makamasi yale mpaka yanaisha.

Nimegundua hayo baada ya kukaa nae kwa takribani week mbili sasa.
Wakuu, huu ni ugonjwa ama nini.. Nifanyeje.... Nimpeleke hosp, nimpe nauli arudi Mwz ama..

Ndimi Mtumishi Mcharo
Punguza sauti basi .
 
Ok, nakushauri mpeleke hospital akachunguzwe, kisha ujue tatzo n nn, usipopata tatzo, mpeleke kanisani aombewe. Lakini angalia na makanisa utakayompeleka.

With thanks


Asante mkuu... ingawa suala la kumuombea nishamuombea sanaa... maana mimi mwenyewe ni Mtumishi
 
Upako wa watumishi unatofautiana.

Kama Na wewe ni mtumishi basi ingia siku saba kavu kisha anza kumfanyia deliverance.Atafunguliwa.
 
Upako wa watumishi unatofautiana.

Kama Na wewe ni mtumishi basi ingia siku saba kavu kisha anza kumfanyia deliverance.Atafunguliwa.


Siku saba (7) kavu!!! Yaani bila kula????? Hata maji?????
Acha ujinga mkuu....
 
Wanafunzi wakamuuliza Yesu mbona SISI tumeshindwa kumtoa pepo? Akawa ambia namna hii hatoki isipokuwa kwa kufunga Na kuomba.

Kufunga kuna attract upako.kwa kuwa huwezi saba kavu jaribu Hata tatu za maji tu.

Case za mapepo zinahitaji kufunga.
 
mi hata sijasoma ulichokiandika bado. nimesoma heading na comments tu. ila mpeleke hospitali
 
Mapendo jamani.... Amina.

Wakuu nina mdogo wangu wa kiume (15 years) ametoka Mwanza amekuja Dar kusoma short course ya Sound Engineering pale Ilala.

Sasa tangu amefika nimeona mambo ya kiaina mpaka nashangaa...
Ni hivi............

1. Anapenda kula matapishi yake. Yaani akimaliza kula chakula, anaingiza kidole mdomoni anajichokonoa anatapikia kwenye sahani then anaanza kula matapishi hadi anamaliza.

2. Anapenda kujichokonoa uchafu na makamasi ya pua, halafu analamba kidole.

3. Anapenda kuchokonoa nta za masikio kwa njiti za kibiriti then analamba vijiti.

4. Ukimpa chai lazima atemee mate kwenye kikombe ndio aanze kunywa.

5. Akimwona mtoto ana makamasi puani anamkimbilia na kunyonya makamasi yale mpaka yanaisha.

Nimegundua hayo baada ya kukaa nae kwa takribani week mbili sasa.
Wakuu, huu ni ugonjwa ama nini.. Nifanyeje.... Nimpeleke hosp, nimpe nauli arudi Mwz ama..

Ndimi Mtumishi Mcharo
f546ea77a68c848a638e5d6abb756ffd.jpg
 
Siku saba (7) kavu!!! Yaani bila kula????? Hata maji?????
Acha ujinga mkuu....
Ndo maana ukaambiwa watumishi mnatofautiana.
Yesu siku 40 kavu wewe unakunywa na maji. Huyo mdogo wako kama ni kweli anasumbuliwa na "Pepo wachafu " kama wale machizi ambao mapepo wachafu wanawatumikisha kula vitu vichafu na kuacha visafi, kuvaa nguo zilizochanika hata akivalishwa nzuri safi hataki, kukaa ktk mazingira machafu n.k nenda ktk makanisa au huduma za maombezi ya kwa jina la Yesu kwa imani anaweza pokea uponyaji.


Ntarudi....
 
Wanafunzi wakamuuliza Yesu mbona SISI tumeshindwa kumtoa pepo? Akawa ambia namna hii hatoki isipokuwa kwa kufunga Na kuomba.

Kufunga kuna attract upako.kwa kuwa huwezi saba kavu jaribu Hata tatu za maji tu.

Case za mapepo zinahitaji kufunga.
Maana ya kufunga unaifaham ndugu
 
Back
Top Bottom