Mdogo wangu kamkataa mke mtarajiwa: Baada ya kujua mama yake alizaa na shemeji yake. Dogo anaona kama anaoa laana

Upuuzi yan mungu mwenyewe hatoi hukumu ya namna hiyo. Kosa la mtu huyu unaenda kumuhukumu yule ujinga kabisa. Minadhani huyo ndugu yako hakua muoaji toka apo ila akitafuta sababu ya kumtua bint wa watu tuu
 
Hamkuwa waoaji nyie mngekuwa waoaji msingeanza kupekenyua hivo ukoo wa huyo dada...unaenda kuoa wewe unaanza kupambana kuwajua watoto wa shangazi au shangazi alizaaje haingii akilini
Hii ni chai ukisoma maelezo utaelewa.[emoji706]
 
Story yako fupi saana ila umejaribu kurefusha mwisho hata wewe hujaielewa

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Nyoka hazai mjusi,huyo mke mtarajiwa nae inawezekana akawa amerithi tabia za Mama yake,

Dogo kafanya vizuri kuipiga chini hiyo ndoa,atafute familia inayojielewa,

Yangu ni hayo tu kwaleo.
 
Kama mwanaume una jijua una kifua cha kike usi pende kuchunguza sana mambo
 
Huu Uzi Ni mgumu Sana kuelewa ila mdogo wako yupo sawa kbsa kuachana na huyo dada.
 
Mwambie ndogo wako huyo ndo atokae kwa Bwana asimwache
 
Ukimchunguza sana bata

Ingekuwa hivi watu wasingeolewa woii huyo ndugu yako alikuwa sio muoaji na alikuwa hampendi dada wa watu, alikuwa anatafuta sababu hivi unajua ukimpenda mtu hata usikie nini
 
mchagua jembe si mkulima

Ukimchunguza sana bata hutomla

Huyo dogo yeye ana uhakika kwenye familia yao wako sawasawa?

Binti hana dhambi, wenye dhambi ni walioitenda!
 
Ukimchunguza sana bata

Ingekuwa hivi watu wasingeolewa woii huyo ndugu yako alikuwa sio muoaji na alikuwa hampendi dada wa watu, alikuwa anatafuta sababu hivi unajua ukimpenda mtu hata usikie nini
Nakuusia, kwenye kuoa, upande wa mwanaume sahau kuhusu mambo ya kupenda kabisaaa yaani kabisa. Hicho tu, watu wanapenda mdada anamweka mchepuko ila kuoa anaoa mwingine, hapo wadada mjitafakari.
 
Nakuusia, kwenye kuoa, upande wa mwanaume sahau kuhusu mambo ya kupenda kabisaaa yaani kabisa. Hicho tu, watu wanapenda mdada anamweka mchepuko ila kuoa anaoa mwingine, hapo wadada mjitafakari.
[emoji1787][emoji1787] Huyo unayemuusia sasa ni mzee nishavuka huko mkuu wausie mabinti sio kibibi gagula mimi
 
VIjana wa siku hizi wanatafuta sbb ndoa ihairishwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…