Enemy of the People
Member
- May 30, 2021
- 16
- 15
Was a joke... anyway, kosa lako ni kusahau kwamba huyo binti tayar amekua na possibly akawa na mwana ambaye yupo age sawa na wewe kabisa. Punguza sana kumfatilia, zungumza nae pale inapobidi ila sio Kila mara ndo maana hata anaona unamkera. Muache kwanza muda utafika atajutia alilokukosea na atakuomba radhi.
DuuuhMtoa mada kashapigwa ban tayari .
Amejibu kwa hasira hapo juuDuuuh
Chezea Utamu wa Dushe!![emoji23][emoji23][emoji23],Ameshaonja tayari huyo, hawezi kukusikia wala kukuelewa.Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Samahani mkuu huyo dada yako ana msambwanda mkubwa?Halafu kuna majitu mnashauri u qummer, heshima ifuate mkondo, kuleta ushauri si tiketi ya kushauri us4ng3 us3ng e hapa. Tuheshimiane tafadhali.!
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Keep distance sio kila mtu Ni wakuwa na mazoea nae hata Kama Ni ndugu yako aiseeDaaah, sio tatizo ila kwangu hilo tusi bado sijakaa sawa
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Kama anaishi kwa wazaz jaribu pia kuongea na wazaz..sababu mwisho wa siku huyo atarudisha matatizo nyumbanβ¦na ww kama kaka utahusika kuyabeba hata kama hutak ! Kama anataka kufanya mambo yake muekeane mkatab wa maneno kikibuma huko kila mtu ale urefu wa kamba yake!Soma uzi tena. Mimi nina kwangu ila mdogo wangu anaishi kwa wazazi.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Umemzidi miaka 6?Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya wanaume, kumpa madhara ya mimba na kumsisitiza asome kwa bidii. Kifupi tunapendana.
Sasa leo nimekuja hapa home nimekuta wanamsema huyu mdogo wangu, kuhusu tabia za kihuni. Mimi kama kaka mwenye uchungu na kuharibikiwa kwake nikalazimika kuvunga ili baadaye nimuulize. Sasa hatimaye nikapata nafasi nikamuuliza shida nini, akasema wanamsingizia ameanza uhuni. Nikamshauri sana na kumuambia asome kwa bidii, ukizingatia nimemzidi miaka 6.
Akanijibu na kuniambia niache mambo ya kike, niwe kama mwanaume na nisimfuatilie fuatilie. Sikuamini kwa kauli hii, nusu nizimie kwa kweli. Mpaka muda huu bado siamini, kosa langu lipi?
Je, au ndio haitakiwi kumpenda na kuzoeana na mdogo wako wa kike? Kumsisitiza kusoma ni kosa? Nimeukumbuka uzi humu wa jamaa akisema hakuna kucheka cheka na mwanamke awe ndugu yako au mtu baki, nimeamini sasa. Mbaya zaidi haya matusi amesikia mpaka house girl, ambaye tulikuwa tunaheshimiana sana. Hivi nitamuangaliaje usoni? Kifupi sipo sawa, bora angekuwa mtoto ndiye amenitukana, ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Bado sijaamini! Sijui cha kuomba ni nini, ushauri au... Nashindwa ku type sipo sawa.
Ndugu wa kiafrica wengi hawa bebeki , wewe ukimsaidia yeye Anaona Kama Ni haki yake na sio msaada as inavyopaswa kuwa, ndio maana Ni rahisi kukudharau na kuku disrespect hata Kama ulijitoa kwake kiasi gani cuz wewe kujitoa kwake ana hesabu kuwa Ni haki yake na sio msaada
Baadae apate mimba zisizo eleweka, alete shida home & brother kupigwa vizinga vya dawa za mtoto (uncle)Unahangaika na hisia za mdogo ako wacha akutukane chukua hii mtoto wa kike hachungwi kamwe iwe mke hata ndugu
Pole sana
Kwa kiburi anachomuonyesha kaka yake anaempenda inawezekana kabisa kuwa hazingatii masomo hadi anarudishwa madarasa nyuma ili asome na kushika vizuri masomo hadi anachelewa.
HatariAmejibu kwa hasira hapo juu