Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Hahahaha mwenye dada hakosi shemeji blaza huo mkwala tu
ukipanda mti kwako,ujiandae kupokea ndege,lazima watatua tu kwenye mti wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha mwenye dada hakosi shemeji blaza huo mkwala tu
daaaa saiv madogo wanalianzisha bado mapema ujue
Nimesoma kwamba mdogo wako kakutana na jamaa jana na yeye mdogo wako kampenda/amevutiwa ( amemuelewa kwa maelezo yako) wewe unataka afuate taratibu. Sasa ndo nikasema watu hawawezi kukutana siku moja waanze kutambulushana lazima wenyewe wafahamiane (sina maana ya kimahaba) na ndio hata nikakwambia kama dada anajielewa atakuwa na mipaka yake katika huo urafiki/uhusiano.
Au we unaposema afuate utaratibu una maana gani?
jamaa haelewi hili.
Astakafighulillah....
Umri wa dogo mbona mnausahau mkuu?
Ndio mkuu she is 17 aliwahi tu kuanza shule na amesoma ughaibuni, vilevile alikua anarushwa madarasa coz alikua na uwezo sana class.
Umeona eeh? Eti Amicus Curiae anasema ana 17 while anafanya kazi tena 'ubalozi fulani'!
Kuna ubalozi wa nchi gani unaoweza kuajiri underage? Lawyer kwa mikwara bhana...!
Unaweza kuthibitisha bila kuacha shaka kwamba malaysia airline ilizamia baharini?
Au tupe source ambayo ni reliable.
Pole sana kama kaka inauma sana,ukijua watu wanajilia dada ako bila malengo..umri ndo huo foolish age hyo huez mzuia,we mwache tu apate xprience..ila umwambie a-play safe!
dadek zake hapo bado ngumi tu...Khu.ma la mama yako bichi weee....
Nitakufakisha ken.ge maji we...nyuki wa mashine!
Dada charty kwann mtoto ameajiriwa 'ubalozi'?
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!
Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!
Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!
Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?
Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!
Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.
Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.
Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.
Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.
A.C