Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Uko sahihi

Kisheria tunaiita "prohibited relationship"....

Sasa kwani mm nimesema nataka kumgegeda mdg wangu?
Kumwonea wivu ni dalili za kutaka kumfaidi. Kumbuka hata wewe unawafaidi dada wa wenzio. Kwa nini mkuki uwe mtamu kwa nguruwe? Kila kaka akiwa kama wewe je, utakubali kuwa bikra kama mimi? Lakini dada yako kiboko, kumwona mwanaume mara moja ccm juu!!!
 
acha hizo bana binti amamkubali jamaa unaanza kubana
 
du ila nae dadako laini kama maini ya mbeya kuniona siku moja tu kazimika
 
Acha hasira hata mdogo wako kapenda so mwelekeze tu njia nzuri.
 
Kumwonea wivu ni dalili za kutaka kumfaidi. Kumbuka hata wewe unawafaidi dada wa wenzio. Kwa nini mkuki uwe mtamu kwa nguruwe? Kila kaka akiwa kama wewe je, utakubali kuwa bikra kama mimi? Lakini dada yako kiboko, kumwona mwanaume mara moja ccm juu!!!

Kwani wewe ni KE au ME?
 
Mkuu utafiti mimi sikatai kuwa na shemeji ila taratibu zifuatwe

Kwani mwanasheria uko peke yako? Kama dada yako hajiheshim, marijali wafanye nini sasa? Mfundishe dada yako kujiheshim la sivyo utalea mtoto uncle hivi karibun
 
Last edited by a moderator:
Tunda likiisha iva mtini shart liangulie la sivyo litadondoka,big up dogo Kawa mstaarabu kukuchana lasivyo angegegedwa tu mwisho wa siku ukaitwa anko mapema.
 
nilivyomuelewa mm ni kwamba anamtafutia mume dada yake kwa kumhakikishia shemeji yake kuwa dada yake kampenda ashindwe mwenyewe
 
shem acha mkwara sasa kwa taarifa yako mzigo nshagonga afu huo ulawyer wako wa skul of law peleka huko ntakukodia akina kibatala ubatuliwe

Oyaa ulitumia parfume gani name ni test ni gonge mzigo? Hicho kiwanja nakipata anachopendelea Kwenda huyo mnaye muita mtoto nione kama haita penya.
 
Mkuu ni Mimi, laki ni siwezi kuoabila kuonja kwa sababu itakuwa Sawa na kununua shati bila kujaribisha....
 
Bro hata sindano kali ila inapitishwa Uzi kwa nyuma!! Inabidi tu shake before use!!!
 
Kwn ww huwezi kumgegeda? mbona unawataja wanaume wengine au ww ni KE?

Mama.yoooo...


Afu inaelekea ww ni zao la mimba iliyopatikana kwa mama.yo kubakw@...

mm ni mwanaume wa kweli kama huamin nipm namba ya huyo dadayako unayemchunga kama mkeo nikuoneshe kuwa sina masihara.. Ww inaonesha unataka umt o mbe dada yako mbona unakuwa na wivu
 
Back
Top Bottom