Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

kuna wadada
BABA NI MJESHI
MAMA NI POLICE
UNCLE ASKARI MAGEREZA
KAKA NI JUDGE
DADA NI USALAMA WA TAIFA
AUNTIE NI MKUBWA WA JESHI LA ANGA
BABA MDOGO NI KIKOSI MAALUM JESHINI

lakini akijilengesha anachezewa anachwa na kijana anaendelea kuwa mtaani mwenye afya tele

hili jiji kila mtu ana yake kichwani wengine wanataka starehe tu tena ndo kama kila mtu alikua bwiii???

muombee dogo HUNA CHA KUFANYA KWA LOLOTE LITAKALOTOKEA
 
Acha kula ugoro wewe!

Rejea uzi wangu tena sio unakurupuka tu kucomment

Ken.ge maji we...

hata sheria unayoisoma ninawasi wasi sana. Mdogo wako atapigwapumbu kama kawaida kama hutaki mfiche ndani kwako kijeba ww
 
daaa kajamaa kana mikwala ya kizamani...!?
huyo jamaa namfaham sana baba yake mdogo anaitwa kina ana,wakati riz moko mshikaji wake wamesoma darasa moko sec...! na naape mtoto wa mama yake mkubwa...
sasa wewe na kalawyer chako unawatisha watu.? na naona huko unapoelekea mwabepande kuna kuhusu sana....
 
We hujawahi kuchezea dada za watu?
Mla huliwa....thats a formula.
Halafu mbona umechelewa....kashachezewa sana....kama unabisha mpime bikr......!

Mkuu nitampimaje labda kwa mfano?!
 
kuna wadada
BABA NI MJESHI
MAMA NI POLICE
UNCLE ASKARI MAGEREZA
KAKA NI JUDGE
DADA NI USALAMA WA TAIFA
AUNTIE NI MKUBWA WA JESHI LA ANGA
BABA MDOGO NI KIKOSI MAALUM JESHINI

lakini akijilengesha anachezewa anachwa na kijana anaendelea kuwa mtaani mwenye afya tele

hili jiji kila mtu ana yake kichwani wengine wanataka starehe tu tena ndo kama kila mtu alikua bwiii???

muombee dogo HUNA CHA KUFANYA KWA LOLOTE LITAKALOTOKEA

Mmmmh....
 
kuna wadada
BABA NI MJESHI
MAMA NI POLICE
UNCLE ASKARI MAGEREZA
KAKA NI JUDGE
DADA NI USALAMA WA TAIFA
AUNTIE NI MKUBWA WA JESHI LA ANGA
BABA MDOGO NI KIKOSI MAALUM JESHINI

lakini akijilengesha anachezewa anachwa na kijana anaendelea kuwa mtaani mwenye afya tele

hili jiji kila mtu ana yake kichwani wengine wanataka starehe tu tena ndo kama kila mtu alikua bwiii???

muombee dogo HUNA CHA KUFANYA KWA LOLOTE LITAKALOTOKEA

safi sana mwambie mjinga huyu. Anatia kibesi kwa watoto wa mbwa? Mdogo wake atatiwa tu atake astake
 
Kama tangu ubalehe hujawah ku do na msichana zaidi ya mkeo tu go ahead kama la! Mla vya wenzake na vyake uliwa.
 
Pole Mkuu. tusaidie amevunja sheria gani au anaelekea kuvunja sheria gani?? tusaidie ndugu
 
Makomana

Hapendi dada yake achezewe. Afuate utaratibu. Siku hizi wanaume si kama wa enzi zetu. Hata mimi nikiona au kuhisi mwanaume or niseme kijana anaanzisha mahusiano na.binti yangu ni lazima nijue. After all amebaki mmoja na hakika we are friends na ninampa kila A B C za maharamia. She has one na alikuja kama rafiki na wanakua. Hivi na magonjwa haya utataka dada au binti yako aangukie mikono ipi? Kudos Amicus
 
Last edited by a moderator:
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri mkuu! Yaani ulitaka siku ya kwanza kuonana jamaa alete na barua ya posa?
 
Hahahaha mwenye dada hakosi shemeji blaza huo mkwala tu
asintishe na ulawyer wake nna hela mbaya ntamkodia malawyer wenzie akina kibatala wabatue CBA chama kubwa afu dadake laini kama maini ya mbeya ye ke hawezi mwambia kama mzigo nsha gonga sana mikasi
 
Back
Top Bottom