Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Hapendi dada yake achezewe. Afuate utaratibu. Siku hizi wanaume si kama wa enzi zetu. Hata mimi nikiona au kuhisi mwanaume or niseme kijana anaanzisha mahusiano na.binti yangu ni lazima nijue. After all amebaki mmoja na hakika we are friends na ninampa kila A B C za maharamia. She has one na alikuja kama rafiki na wanakua. Hivi na magonjwa haya utataka dada au binti yako aangukie mikono ipi? Kudos Amicus

lakin angekuwa anamaelengo mema angemwita huyo jamaa anayemmendea dada yake. Sasa anakuja kuropoka hapa mtandaon hvi unafikir mwanaume kweli huyu. Hli jambo lilikuwa ni kumwita huyojamaa na kumuuliza unamalengo gan na mdogo wangu? Then angepewa majibu. Sasa anakuja kutubwabwajia sisi hapa unafikir tutamwonea huruma?? Hizo ni kelele za mbwa koko aliyevamiwa na ngedere anakimbilia na kubwekea bila kumwona ngedere kajificha wapi?? Halafu anajiita mwanasheria hvi kuna usomi gan hapo.
 
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!

Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!

Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!

Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?

Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!

Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.

Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.

Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.

Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.

A.C
Kwanini umpe salam kwenye JF wakatu business card yake unayo? na unahakika gani kama jamaa amempenda huyo binti na yuko tayari kwa ndoa? mwanamme hukaa chini akaongea na mwanamme mwenzie kika eleweka kama kama mbivu au mbichi...au unataka na yeye aje JF atoe majibu? mpigie muonane muonge kiume............
 
Sijaona sababu za msingi wewe kuleta huu uzi humu.
 
haya sasa nakuachia nione utamfanya nini mwenyewe
 
Anakuja kujitambulisha tu thn anasubiri mpk nxt year march dogo atakua na 18.

Kama anampenda atasubiri.

Yaani wakutane leo na leo hii aje kwenu kujitambulisha?!
Ngumu sana hiyo ndugu.
Kama mdogo wako amelelewa vyema atajilinda mwenyewe maana hawezi kuwa na mlezi 24/7
 
Nimekuelewa ila umenichukuliaje nipigie simu tuonge mkuu sina nia mbaya msalimie sana
 
Hacha hasira. mapenzi kwanza ndio inafuata ndoa. haraka haraka haina baraka.
 
Yaani wakutane leo na leo hii aje kwenu kujitambulisha?!
Ngumu sana hiyo ndugu.
Kama mdogo wako amelelewa vyema atajilinda mwenyewe maana hawezi kuwa na mlezi 24/7

Mbona watanzania tuna vichwa vizito namna hii??

Mm sina maana hiyo hata kdg...

Hebu rejea uzi wangu tena uuelewe...
 
lakin angekuwa anamaelengo mema angemwita huyo jamaa anayemmendea dada yake. Sasa anakuja kuropoka hapa mtandaon hvi unafikir mwanaume kweli huyu. Hli jambo lilikuwa ni kumwita huyojamaa na kumuuliza unamalengo gan na mdogo wangu? Then angepewa majibu. Sasa anakuja kutubwabwajia sisi hapa unafikir tutamwonea huruma?? Hizo ni kelele za mbwa koko aliyevamiwa na ngedere anakimbilia na kubwekea bila kumwona ngedere kajificha wapi?? Halafu anajiita mwanasheria hvi kuna usomi gan hapo.

Unahoji usomi wangu kama nani??

Wewe ni board member wa TCU?

Au chairman wa Tanganyika Law Society?

Mama.yooo....
 
Kwanini umpe salam kwenye JF wakatu business card yake unayo? na unahakika gani kama jamaa amempenda huyo binti na yuko tayari kwa ndoa? mwanamme hukaa chini akaongea na mwanamme mwenzie kika eleweka kama kama mbivu au mbichi...au unataka na yeye aje JF atoe majibu? mpigie muonane muonge kiume............

Naenda taratibu mkuu
 
Mbona watanzania tuna vichwa vizito namna hii??

Mm sina maana hiyo hata kdg...

Hebu rejea uzi wangu tena uuelewe...

Nimesoma kwamba mdogo wako kakutana na jamaa jana na yeye mdogo wako kampenda/amevutiwa ( amemuelewa kwa maelezo yako) wewe unataka afuate taratibu. Sasa ndo nikasema watu hawawezi kukutana siku moja waanze kutambulushana lazima wenyewe wafahamiane (sina maana ya kimahaba) na ndio hata nikakwambia kama dada anajielewa atakuwa na mipaka yake katika huo urafiki/uhusiano.
Au we unaposema afuate utaratibu una maana gani?
 
Back
Top Bottom