Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,213
- 13,253
Hapendi dada yake achezewe. Afuate utaratibu. Siku hizi wanaume si kama wa enzi zetu. Hata mimi nikiona au kuhisi mwanaume or niseme kijana anaanzisha mahusiano na.binti yangu ni lazima nijue. After all amebaki mmoja na hakika we are friends na ninampa kila A B C za maharamia. She has one na alikuja kama rafiki na wanakua. Hivi na magonjwa haya utataka dada au binti yako aangukie mikono ipi? Kudos Amicus
lakin angekuwa anamaelengo mema angemwita huyo jamaa anayemmendea dada yake. Sasa anakuja kuropoka hapa mtandaon hvi unafikir mwanaume kweli huyu. Hli jambo lilikuwa ni kumwita huyojamaa na kumuuliza unamalengo gan na mdogo wangu? Then angepewa majibu. Sasa anakuja kutubwabwajia sisi hapa unafikir tutamwonea huruma?? Hizo ni kelele za mbwa koko aliyevamiwa na ngedere anakimbilia na kubwekea bila kumwona ngedere kajificha wapi?? Halafu anajiita mwanasheria hvi kuna usomi gan hapo.