Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!


Umri wa dogo mbona mnausahau mkuu?
 
Pole sana kama kaka inauma sana,ukijua watu wanajilia dada ako bila malengo..umri ndo huo foolish age hyo huez mzuia,we mwache tu apate xprience..ila umwambie a-play safe!
 
Umri wa dogo mbona mnausahau mkuu?

Kawaulize kwanza wazazi wake kuwa ana umri gani then uende 'ubalozini' pia uwahoji kwanin wanaajiri underage then ukipata jibu muulize huyo mtoto why anadate? Afu rudi humu JF
 
Ndio mkuu she is 17 aliwahi tu kuanza shule na amesoma ughaibuni, vilevile alikua anarushwa madarasa coz alikua na uwezo sana class.

Huo ulawyer wako ungeanzia kwa muajiri wake alioajiri mtoto wa miaka 17 kama zaidi ya hapo utakua muongo tu huyo ni zaidi ya miaka 18 ndio maana kaajiriwa mikwala yako haisaidii wakati huu ambao washatoa bikira kitambo na hakuja kukwambia
 
Umeona eeh? Eti Amicus Curiae anasema ana 17 while anafanya kazi tena 'ubalozi fulani'!

Kuna ubalozi wa nchi gani unaoweza kuajiri underage? Lawyer kwa mikwara bhana...!


Jamani hebu tuwekane sawa hapa.

In law, not mechanics, kuna mtu tunamuita 'minor', huyu ni mtoto either ME au KE, ambaye hajafika umri wa miaka 18.

The law pressumes that huyu mtoto hana free consent when it comes to a contract, hata ukimtongoza akakubali bado sheria itakufakisha.

On the other hand, kuna tofauti kati ya sheria na sera.

Hizi embassy zina sera ya ajira, subiri nikuwekee link hapa uone kama umri ni tatizo especially kwenye kada anayofanyia dogo.

Wait kdg....
 
Last edited by a moderator:
Pole sana kama kaka inauma sana,ukijua watu wanajilia dada ako bila malengo..umri ndo huo foolish age hyo huez mzuia,we mwache tu apate xprience.ila umwambie a-play safe!

Dada charty kwann mtoto ameajiriwa 'ubalozi'?
 
Last edited by a moderator:
Unaweza kuthibitisha bila kuacha shaka kwamba malaysia airline ilizamia baharini?

Au tupe source ambayo ni reliable.

kwani nani kasema ilizamia baharini kuna sehemu hapo nimeandika ilizamia baharini???
 
pole sana mwana sheria nazan ulir mioa sio ulie muanza dada yako ni bikra na km sio bikra je alikuambia na alie mtafuna?potea uko
 
Pole sana kama kaka inauma sana,ukijua watu wanajilia dada ako bila malengo..umri ndo huo foolish age hyo huez mzuia,we mwache tu apate xprience..ila umwambie a-play safe!

kwani ni bikra
 
Dada charty kwann mtoto ameajiriwa 'ubalozi'?

Link inakuja mkuu

Hii embassy utaona walivoainisha age kwenye sera yao ya ajira

Wanataja kiwango cha elimu, then wanapambanisha qualifications na perfomance wkt wa intern.

Unaweza ukawa na miaka 22 na bado wasikuchukue kama perfomance yako ni poor.

Ila umri ni kuanzia miaka hiyo 17.

Wait kdg mkuu...
 
Last edited by a moderator:

Acha wamgegede hata wewe uliharibu wadada wa wenzio, hafu kuwa lawyer siyo ishu as lo as dada yako anazaidi ya 18 jamaa atagonga na ukijifanya mbishi atakutwanga na dada yako atakudharau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…