Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #21
Huyo mdogo wako ni under age?
Ndio mkuu she is 17 aliwahi tu kuanza shule na amesoma ughaibuni, vilevile alikua anarushwa madarasa coz alikua na uwezo sana class.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mdogo wako ni under age?
Kuwa mpole kaka zetu walikuwa Kama wewe wako wapi
Cc Miss Chaga,Heaven on earth
Good sunday mkuu!
Niombee manake nimeghafirika sana!
Mbona vitisho kama vya kihaya vile?
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!
Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!
Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!
Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?
Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!
Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.
Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.
Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.
Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.
A.C
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!
Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!
Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!
Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?
Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!
Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.
Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.
Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.
Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.
A.C
Ndio mkuu she is 17 aliwahi tu kuanza shule na amesoma ughaibuni, vilevile alikua anarushwa madarasa coz alikua na uwezo sana class.
Usinitishe wewe, huyo mdogo wako sio minor na ndio maana unataka taratibu zifuatwe, angekuwa minor hata hizo taratibu unazotaka zifuatwe zisingesaidia, sasa unanitisha eti wewe ni lawyer!! Ahaa ahaa utaniwajibisha kwa sheria ipi wakati mdogo wako ana miaka 20 sasa. Tatizo lako una wivu kwa dada yako, kama kumgegeda nishamgegeda nadhan hilo hajakwambia..acha wivu wewe..
Hii uswahilini inaitwa'kutishia kutoa hewa kumbe una tumbo la kuendesha'
]Dogo nimeshampa vyake mkuu.
[/COLOR]
Na sasa ni zamu ya huyu bwana, halafu sio kwamba simfahamu, nina business card yake hapa.
mwongo huyo sasa kama ni 17 taratibu gani tena unataka zifuatwe ili unikabithi mke wakati nawe unajua ni bado mdogo..mbna unajichanganya
hahahahaha mwanangu wahenga walisema mla cha wenziwe na chake huliwa.naona imekua mkuki kwangurue. Unaowamegea pia wanao makaka vilevile.roho inaumaga kumbe?
Ndio mkuu she is 17 aliwahi tu kuanza shule na amesoma ughaibuni, vilevile alikua anarushwa madarasa coz alikua na uwezo sana class.