Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Aisee,kweli ww ni LOYA

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mbona vitisho kama vya kihaya vile?

mpuuz tu anamtisha wakat mdogo wake ashakuwa over 18, eti ni lawyer atanifunga kwa kigezo kipi..watu wanadate hadi na mtoto wa mkuu wa kaya sembuse yeye anayenitisha na ka diploma ka law kutoka Tumaini university..wivu wa mapenz unamsumbua hadi kwa dada yake..
 
mmmmmh mkuu mbona vitisho au wivu? mtu anafanya kazi tayari yeye hajui cha kufanya? kama ana umri mdogo wewe kama mwanasheria una maanisha miaka mingapi? she is under 18? kama ni zaidi ya hapo mtu mzima huyo! kwani mdogo wako bikira? kama sio kwa nini ukomalie huyu? au kwa vile amekuja kukwambia? observation yako nzuri lakini waacha watu wazima wafikie maamuzi wenyewe? hayo ya kuoa ni matokeo? umesema wewe ni mtu wa church nadhani cha msingi ungeingia kwenye maombi ingelifanya kazi zaidi kuliko mkwara wako wa lawyer? I wonder uanasheria unakujaje hapa? kwani kambaka?
 
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!

Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!

Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!

Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?

Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!

Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.

Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.

Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.

Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.

A.C

Ongea na mdogo wako, acha kumfuatilia mtu usiyemjua.

Unaweza kutaka kutandika zulia dunia nzima ili mguu wako usiguse chini.

Au unaweza kuvaa viatu tu.
 
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!

Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!

Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!

Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?

Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!

Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.

Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.

Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.

Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.

A.C

hahahahaha mwanangu wahenga walisema mla cha wenziwe na chake huliwa.naona imekua mkuki kwangurue. Unaowamegea pia wanao makaka vilevile.roho inaumaga kumbe?
 
Ndio mkuu she is 17 aliwahi tu kuanza shule na amesoma ughaibuni, vilevile alikua anarushwa madarasa coz alikua na uwezo sana class.

mwongo huyo sasa kama ni 17 taratibu gani tena unataka zifuatwe ili unikabithi mke wakati nawe unajua ni bado mdogo..mbna unajichanganya
 
Usinitishe wewe, huyo mdogo wako sio minor na ndio maana unataka taratibu zifuatwe, angekuwa minor hata hizo taratibu unazotaka zifuatwe zisingesaidia, sasa unanitisha eti wewe ni lawyer!! Ahaa ahaa utaniwajibisha kwa sheria ipi wakati mdogo wako ana miaka 20 sasa. Tatizo lako una wivu kwa dada yako, kama kumgegeda nishamgegeda nadhan hilo hajakwambia..acha wivu wewe..

Wenzio bangi wanavutiaga chini ya mti wa muarobaini, wewe unavutia chooni, ndio madhara yenyewe haya!

Dogo ana miaka 17, nxt year march ndio anafikisha 18, huyo jamaa kama anampenda hatoshindwa kuvumilia hadi march.
 
]Dogo nimeshampa vyake mkuu.
[/COLOR]
Na sasa ni zamu ya huyu bwana, halafu sio kwamba simfahamu, nina business card yake hapa.

Hilo ndio la msingi ulilofanya,huu uzi hautakusaidia chochote hata kama huyo kijana yumo humu.
Kuwa na business card yake pia si tija,unaweza ukajua mtaa na nyumba anayokaa na akammega dogo akasepa vile vile,ndoa hailazimishwi kaka kama ipo ipo tu!!
 
Shemeji nasema hivi; shake well before use! Kwa hiyo unataka kuleta vya uloya wako kwenye ishu za malovee? Nina wadogo zangu wanne wa kike hata wakiniambia siri zao kwa kuniamini sitozipeleka kwenye social network yoyote, naapa ee Mungu nisaidie.
 
unajua kajiandaa andaaje huyo jamaa wa cba?
 
mwongo huyo sasa kama ni 17 taratibu gani tena unataka zifuatwe ili unikabithi mke wakati nawe unajua ni bado mdogo..mbna unajichanganya


Anakuja kujitambulisha tu thn anasubiri mpk nxt year march dogo atakua na 18.

Kama anampenda atasubiri.
 
hahahahaha mwanangu wahenga walisema mla cha wenziwe na chake huliwa.naona imekua mkuki kwangurue. Unaowamegea pia wanao makaka vilevile.roho inaumaga kumbe?

Mkuu najua unamaanisha nn ila ngoja ninyamaze tu nisije nikazua mjadala mwingine.
 
Back
Top Bottom