Mdogo wangu wa kike ndiyo kamaliza Form 6, safari ya chuo imekaribia. Nawaza ataukwepa vipi "Ukware" wa vyuoni?

Mdogo wangu wa kike ndiyo kamaliza Form 6, safari ya chuo imekaribia. Nawaza ataukwepa vipi "Ukware" wa vyuoni?

Ukubwa baba
Haya mambo yapo tangu enzi
Kuna wazazi walikuwa hawakubali mtoto wa kike awe shule miaka 12 hapana
Wanamuozesha haraka
Hayo yalikuwq enzi zile ingawa mambo yamebadilika lakini wazee walikuwa wanauelewa sana

Siku hizi mtoto wa kike anasafiri peke yake anaenda mkoa wa mbali eti ana kazi 😄 sijui kazi gani mtajua nyie vijana
Yaani mkuu we acha tuu haya mambo haya 😂😂😂😂😂
 
Acha kuwaza vitu vya ajabu ambavyo havikwepeki kwenye maisha ya mwanadamu. Timiza wajibu wako

1. Mkalishe chini, mpe elimu ya kutosha kuhusu maisha ya huko, atakacho kutana nacho, madhara yake na faida zake kama itakulazimu kuzieleza.

2. Jitahidi sana mdogo wako apate kila kitu kwa wakati hata kama sio kwa ukubwa lakini apate mahitaji yake ya mhimu tena kwa wakati (hii ndiyo sababu kubwa inayo-wapeleka huko kwenye hayo mambo)

3. Awe na usimamizi na ufuatiliaji wa maendeleo yake ya chuoni (ila usimchunge, yaani USITHUBUTU kufanya hili kosa kwa sababu atahitaji kukuonyesha who is in charge)

The rest muombee
Ushauri mzuri na wakufuatwa.
 
Kuliwa ataliwa tu, yaani ni lazima atawekwa, hakuna shortcut katika hilo.

Muombee binti akazane tu na masomo yake, timizeni wajibu wenu kama familia ili mazingira ya kusoma yawe mazuri ila kwa chuo kuwekwa ni lazima. Kama kuna binti anamaliza chuo na "valve seal" anahitaji tuzo ya Nobel kwa sasa.

Niliishi kama mume na mke chuo for three yrs, I'm not bragging but ndio hivyo. Huenda nikapatilizwa kupitia binti yangu...
 
Huwezi Jua mzee inawezekana akapata future husband huko huko, Mimi wife wangu nlimpata chuo tena tulikua tunasoma darasa Moja..
Classmates kuoana siyo vema. Maana umri unakuwa haujapishana sana. Ke atazeeka kabla ya me
 
Hajasoma saint kayumba. Geti kali home na shuleni kuonana ni visting day tu.
Hao ndo wanakuwaga na mawenge hao kama ni geti Kali akipata mhuni akamkoleza hakika tarajia kuitwa anko baada ya miaka mmoja wa chuo
 
Maisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.

Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?

Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.

Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
Miaka 18 tayari mtu mzima mpe elimu ya maisha aujue ukweli ili afanye maamuzi ya busara bila kusahau matumiz ya ndom. Usiwaze we tafuta hela unywe bia mtoto sio wako ni wa serikali
 
Maisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.

Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?

Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.

Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
Umalaya ni tabia ya mtu, malaya hata kwenye nyumba za ibda ndio wanakotombeshea, kama ni muimba kwaya anaweza akawazungusha nusu ya wanakwaya akaruka nao.
 
Ukubwa baba
Haya mambo yapo tangu enzi
Kuna wazazi walikuwa hawakubali mtoto wa kike awe shule miaka 12 hapana
Wanamuozesha haraka
Hayo yalikuwq enzi zile ingawa mambo yamebadilika lakini wazee walikuwa wanauelewa sana

Siku hizi mtoto wa kike anasafiri peke yake anaenda mkoa wa mbali eti ana kazi 😄 sijui kazi gani mtajua nyie vijana
Hii nakuunga mkono, kuna shemeji yangu alimaliza chuo fresh kabisa nilikuwa namuaminia sana, akapata kazi mkoani halafu wilayani kule akazaa na mume wa mtu halafu hana maajabu yoyote, nilishangaa sana mtoto wa Kidaresalama kwenda kuingizwa mkenge na mtu wa wilayani.
 
Nimehitimisha ✍️...... Kwa hizi comment bas mchumba wangu anachapwa Kama ngoma huko alipo😔😔

Na hesabu haipandi, juz ananiambia kasap..... Kuna mida nikawa napiga cm usiku hashiki😂😂😂😂

Dah hii Dunia hii, na ndo mke mtarajiwa🤔🤔

(Note: Anasoma Diploma 👉MUM
Mtafute mganga wa Diva akufundishe namna ya kumgeuza mwanamke kuwa zezeta wako.
 
Back
Top Bottom