Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Sasa unaanzaje kumuonea wivu dada yako?Mm nikiskia mdogo wangu ana boyfriend hata siwezi shangaa. Ila usenge ni kukaa chumba kimoja [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unaanzaje kumuonea wivu dada yako?Mm nikiskia mdogo wangu ana boyfriend hata siwezi shangaa. Ila usenge ni kukaa chumba kimoja [emoji16]
Historia inajirudia sana bossHii nakuunga mkono, kuna shemeji yangu alimaliza chuo fresh kabisa nilikuwa namuaminia sana, akapata kazi mkoani halafu wilayani kule akazaa na mume wa mtu halafu hana maajabu yoyote, nilishangaa sana mtoto wa Kidaresalama kwenda kuingizwa mkenge na mtu wa wilayani.
Sasa wewe si mzee wa nyeto mkuu... nyie kesi yenu tofautiMbona mimi nimemaliza chuo sikuwahi gonga au kuwa na demu. Tatizo mnakuza mambo
Kwa wanawake kukaa indepent ni mtihani sana, hata waliohamia Dodoma na kutengana na familia zao ndoa zao haziko salama.Historia inajirudia sana boss
Hebu angalia mtoto kalelewa vizuri halafu wanamuacha aende popote
Hilo linajulikana na wanawake ni dhaifu sana
Hilo ni kweli ni asilimia ndogo sana sana wenye uvumilivu ila wengi hawana uvumilivu na kutongozwa na wanaume kila leo ni kawaidaKwa wanawake kukaa indepent ni mtihani sana, hata waliohamia Dodoma na kutengana na familia zao ndoa zao haziko salama.
Mpiga ramli wangu imefika hutaki nifaidi😂😂We jamaa😂
Wewe si ulikua unaona raha kugonga wadogo wa wenzio?Kulia ni kupokezana....zamu yako sasaMaisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.
Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?
Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.
Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
Tenga mda ukaenaye muongee kuhusu maisha ya chuo, ushauri nk akifika kule asishangae pia kama anajitambua atakuwa safe tu..Maisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.
Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?
Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.
Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
nipo jirani na shule moja ya A level ,shule zenyewe hazina ukuta, watoto wanala mtaani asubuhi wanarudi shuleMaisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.
Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?
Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.
Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
ukute huyo dogo ana bwana wa mtaani kwao,anaye wa la saba ,anaye wa o level, anaye wa A level,halafu jamaa ndo anawaza mambo ya chuo1. Misingi ya malezi yake ikoje?
2. JKT itampa basics za maisha, hivyo itamjenga.
3. Mpe pia Experience ya maisha ya chuo na namna ya kuenenda akiwa chuoni.
4. Mwenye dada hakosi shemeji
Yeah, hawa madogo wana mambo makubwa mno, vitoto vya 2000's ni motoukute huyo dogo ana bwana wa mtaani kwao,anaye wa la saba ,anaye wa o level, anaye wa A level,halafu jamaa ndo anawaza mambo ya chuo
Maisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.
Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?
Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.
Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
Akajifunze pia kujisimamia huko,kifupi cha sukari anacho na yuko huru sasa ni kujifunza Maisha mapya.Mpe elimu ya afya ya uzazi na ngono salama.
Vilevile,yale mahitaji ambayo mnaweza kumtimizia kama familia fanyeni hivyo.
Mkuu sio chuoni tu hata huku ofisini mwanamke mwenye chura hata kama ni mke wa mtu yaani watu hawaogopi kabisa kupita naye. Tena awe na chura alafu hana akili hadi chura yenyewe watu wanaichimbua. Hiki ni kizazi cha nyoka bila kumeza chura hakiishi njaa. Kuna wakati mtu unatamani binti yako awe mwembambaaaa labda wahuni watamsamehe..... noma sana.Kama ana
Chura ndo balaa
Tumia tafsida kiongozi 😂🙌Hakuna makundi mabovu Wala Nini Kama kutombwa ni swala la mda tu.
Ukweli watu wanaujua vizuri.
Hahahaaa hao sasa ndio huwa wanatakiwa sana maana ni maamuma wazuri kweli hawajui mambo mengi sana ya uswazi yaan hao walaini sana wanatafunwa sana tena kiulaini sana na wakibutuka wanabutuka haswaaHajasoma saint kayumba. Geti kali home na shuleni kuonana ni visting day tu.
Haina maana inabid tuseme ukweli mda mwengine humu majority tunajua life la chuo.Tumia tafsida kiongozi 😂🙌
Atakushangaza...asiyejua chochote