Mdomo unababuka huku kwa chini afu unatengeneza kama utando

Mdomo unababuka huku kwa chini afu unatengeneza kama utando

Mdogo wangu acha upuuzi na unisikilize kwa makini.

Kwa binadamu ambae anajali kinywa chake ndani kwako huwezi kukosa ORAL MED,/ or any other mouthwash, kazi yake ni kusukutua baada ya kupiga mswaki usiku ili kuuwa vijidudu .na mdomo kuwa safi.

Sasa wewe unaanzaje kushuka kigoma wakati huna mouthwash ? Hata awe msafi kiasi gani baada ya kazi lazima kusafisha kinywa. Nenda mwambie Dr yaliyokukuta.😂😂

Nb.hata wanawake mnao shikilia ile kitu mnabugia tu, lazima mkimaliza msukutuwe na oral med, hakikishen msimeze, na malizia kwa kusukutua Maji.
Sauti inatosha ama? Mweeex nyau Nyinyi😂😂😂😂😂...kidding.
😂😂😂😂😂😂
 
Mdogo wangu acha upuuzi na unisikilize kwa makini.

Kwa binadamu ambae anajali kinywa chake ndani kwako huwezi kukosa ORAL MED,/ or any other mouthwash, kazi yake ni kusukutua baada ya kupiga mswaki usiku ili kuuwa vijidudu .na mdomo kuwa safi.

Sasa wewe unaanzaje kushuka kigoma wakati huna mouthwash ? Hata awe msafi kiasi gani baada ya kazi lazima kusafisha kinywa. Nenda mwambie Dr yaliyokukuta.[emoji23][emoji23]

Nb.hata wanawake mnao shikilia ile kitu mnabugia tu, lazima mkimaliza msukutuwe na oral med, hakikishen msimeze, na malizia kwa kusukutua Maji.
Sauti inatosha ama? Mweeex nyau Nyinyi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...kidding.

Cc. Luckyline
 
Wakuu amkeni mnipe dawa.


Wiki ilopita nilipata kadada kazuri,nikaenda nako lodge ,
Kama kawaida yangu nikazama uvinza.

Saiv ndugu zangu mdomo unababuka uku kwa chini afu unatengeneza kama utando ivi.

Asa sijui ni kwa sabab ya uvinza au tatizo nn.


Naombeni dawa ya kujikwamua na hili tatizo.

NB;NIMEAPA SITAZAMA UVINZA KWA MWINGNE YOYOTE BALI KWA MKE WANGU MPENDWA TU.


asanteni.
Katafute hydrogen peroxide antiseptic mouth wash.
Na kukausha vidonda upate vidonge kumi vya ampicloxacillin meza 1 ×2 kwa siku ndani ya siku tano.
 
Wakuu,
Naomba kujua dawa ya vidonda nje ya mdomo yaan kwenye lips..

Kuna jamaa angu kababuka mdomo wa chini,,afu mda mwingne hutengeneza utando mweupe,,

Hali iko ivo jamaa anahangaika sana,,kamdomo kamekuwa kama kameungua moto ivi, yaan kingozi cha juu kinababuka kidogo kidogo.

Wajuz wa mambo naomba kujua dawa yake HASA ZA KIENYEJI.
Hydrogen peroxide antiseptic mouth wash na vitamin B complex (multivitamin ).
Hydrogen peroxide kma atakua ana bacterial or fungal infections itaua vijidudu na vitamin B complex inaweza kukausha vidonda pia.
Lakin km atakua na upungufu wa vitamins basi B complex itamuongezea Vitamins na kukausha vidonda vyake.
Na hvyo vidonge vya B complex inatakiwa apate 3 tablets ama vidonge 30 ameze 2×3 km tatzo ni la muda mrefu kama kuanzia wiki tatu na kuendelea.
Ila km tatizo ni la muda mfupi yan halina muda mrefu kumuanza mathalan km wiki moja hivi basi vidonge 10 ama tablet 1 itamtosha na ameze 1×2 basi.
 
Kamwe sisi wachezaji wa UVINZA FC hatutatetereka na jiraa lililo mkuta mchezaji mwenzetu

Tutaendelea kukaza na msimamo wetu na kupambana na mechi zilizosalia
 
Ivi na ile harufu tu (nasemea natural smel) mtu unaanzaje kuzama kule...mmmh kweli tunatofautiana
 
Wakuu amkeni mnipe dawa.


Wiki ilopita nilipata kadada kazuri,nikaenda nako lodge ,
Kama kawaida yangu nikazama uvinza.

Saiv ndugu zangu mdomo unababuka uku kwa chini afu unatengeneza kama utando ivi.

Asa sijui ni kwa sabab ya uvinza au tatizo nn.


Naombeni dawa ya kujikwamua na hili tatizo.

NB;NIMEAPA SITAZAMA UVINZA KWA MWINGNE YOYOTE BALI KWA MKE WANGU MPENDWA TU.


asanteni.
Endelea kuzama chumvini usimuogope mtu yeyote yule
 
Mdogo wangu acha upuuzi na unisikilize kwa makini.

Kwa binadamu ambae anajali kinywa chake ndani kwako huwezi kukosa ORAL MED,/ or any other mouthwash, kazi yake ni kusukutua baada ya kupiga mswaki usiku ili kuuwa vijidudu .na mdomo kuwa safi.

Sasa wewe unaanzaje kushuka kigoma wakati huna mouthwash ? Hata awe msafi kiasi gani baada ya kazi lazima kusafisha kinywa. Nenda mwambie Dr yaliyokukuta.[emoji23][emoji23]

Nb.hata wanawake mnao shikilia ile kitu mnabugia tu, lazima mkimaliza msukutuwe na oral med, hakikishen msimeze, na malizia kwa kusukutua Maji.
Sauti inatosha ama? Mweeex nyau Nyinyi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...kidding.
Inaitwa medi oral sio oral medi
1569400758657.jpeg
 
Pole sana mwana ndugu yetu wa Uvinza FC.

Hayo ni majeraha madogo madogo sana mpirani, labda ni kwakuwa hujawa mzoefu wa kucheza ligi ya UEFA.

Usijali Team Captain wako niko bega kwa bega kuhakikisha unapona haraka, maana ligi ndiyo kwanza imeanza.
Naponaje sasa mr captain
 
Wakuu,
Naomba kujua dawa ya vidonda nje ya mdomo yaan kwenye lips..

Kuna jamaa angu kababuka mdomo wa chini,,afu mda mwingne hutengeneza utando mweupe,,

Hali iko ivo jamaa anahangaika sana,,kamdomo kamekuwa kama kameungua moto ivi, yaan kingozi cha juu kinababuka kidogo kidogo.

Wajuz wa mambo naomba kujua dawa yake HASA ZA KIENYEJI.
Pole kwa maradhi mkuu
 
Back
Top Bottom