Mdomo unababuka huku kwa chini afu unatengeneza kama utando

Mdomo unababuka huku kwa chini afu unatengeneza kama utando

Nyie hamchelewi kwenda kutafuta anae weza so itabidi mtu afanye tu ili akulizishe mapenzi yaendelee japo ni hatari lakini salama.
[emoji3][emoji3][emoji3] na wewe nikikuomba hujui kukataa?
 
Wakuu amkeni mnipe dawa.


Wiki ilopita nilipata kadada kazuri,nikaenda nako lodge ,
Kama kawaida yangu nikazama uvinza.

Saiv ndugu zangu mdomo unababuka uku kwa chini afu unatengeneza kama utando ivi.

Asa sijui ni kwa sabab ya uvinza au tatizo nn.


Naombeni dawa ya kujikwamua na hili tatizo.

NB;NIMEAPA SITAZAMA UVINZA KWA MWINGNE YOYOTE BALI KWA MKE WANGU MPENDWA TU.


asanteni.
Kumekucha kumekucha 😁
 
Back
Top Bottom