Mdomo unababuka huku kwa chini afu unatengeneza kama utando

Mdomo unababuka huku kwa chini afu unatengeneza kama utando

Hydrogen peroxide antiseptic mouth wash na vitamin B complex (multivitamin ).
Hydrogen peroxide kma atakua ana bacterial or fungal infections itaua vijidudu na vitamin B complex inaweza kukausha vidonda pia.
Lakin km atakua na upungufu wa vitamins basi B complex itamuongezea Vitamins na kukausha vidonda vyake.
Na hvyo vidonge vya B complex inatakiwa apate 3 tablets ama vidonge 30 ameze 2×3 km tatzo ni la muda mrefu kama kuanzia wiki tatu na kuendelea.
Ila km tatizo ni la muda mfupi yan halina muda mrefu kumuanza mathalan km wiki moja hivi basi vidonge 10 ama tablet 1 itamtosha na ameze 1×2 basi.
Sawa shukran mkuu
 
AVATAR TU YAONESHA WEWE NI NANI!! ACHA UFSKA NA USHARATI NA BADO. Tubu acha nenda hospitali katibiwe ukiendekeza kansayamdomo ama koo inakunyemelea fasta
 
Mkuu kwanini unatupotezea muda hivi?!!!!
Unazingua aisee**
Inakuwaje unashindwa kuwa mstaarabu..
Ndani ya SAA moja unaandika nyuzi mbili ukizungumzia mada moja..
Mara ulizama uvinza sasa hivi unasema rafiki yako ana shida**
Sijui mdomo wa juu unababuka mara unasahau ulichoandika juu unahamia kwenye mdomo wa chini!!
Una tatizo gani mkuu???

Huyo rafik angu ndo kaandika hiyo ya pili.
 
mh mkuu hapana ile Acid nayo duh...
Harufu tamu ile mkuu tushaizoea,,cha muhim usafi tu
Kwa kawaida kwa Me huwa vinatoka kama sio mkojo ni Mbegu tu ila kwa Ke huwa vinatoka na kuingia vingiii hapana mkuu...[emoji51][emoji51]
 
Eti jamaa yako!! si useme ulichokifanya usaidiwe!! Kila siku mnakatazwa lakini hamsikii.
Ukome [emoji23][emoji23][emoji23]
Tafadhali Tunaomba Mgonjwa Atibiwe Kwanza Mengine Baadae
 
Wakuu amkeni mnipe dawa.


Wiki ilopita nilipata kadada kazuri,nikaenda nako lodge ,
Kama kawaida yangu nikazama uvinza.

Saiv ndugu zangu mdomo unababuka uku kwa chini afu unatengeneza kama utando ivi.

Asa sijui ni kwa sabab ya uvinza au tatizo nn.


Naombeni dawa ya kujikwamua na hili tatizo.

NB;NIMEAPA SITAZAMA UVINZA KWA MWINGNE YOYOTE BALI KWA MKE WANGU MPENDWA TU.


asanteni.

Tumia hydrogen peroxide inaweZa kukusaidia kwa issue ya kinywa
 
Med oral ipo pharmacy, ila sasa hivi kwakuwa una michubuko usiitumie bila kumwona dr
Hata akiwa na michubuko anaitumia tena sana.Kwasababu ile inakausha vidonda.
Kazi yake ile ni kuondoa fungal infections,bacterial infections,kutibu majeraha ya mdomo na kukausha vidonda vya mdomo pia ,pia inatibu matatizo ya mdomo km amoebic gingivalis na mdomo kunuka .
 
Kumbe ni wewe ndiyo mwenye matatizo, alafu unasema jamaa yako...

Weka picha members wakushauri vizuri...


Cc: mahondaw
 
Eti jamaa yako!! si useme ulichokifanya usaidiwe!! Kila siku mnakatazwa lakini hamsikii.
Ukome [emoji23][emoji23][emoji23]
Msiwacheke maana nasikia nyie ndio huwa mnawaomba wawafanyie hivyo.
 
Wakuu,
Naomba kujua dawa ya vidonda nje ya mdomo yaan kwenye lips..

Kuna jamaa angu kababuka mdomo wa chini,,afu mda mwingne hutengeneza utando mweupe,,

Hali iko ivo jamaa anahangaika sana,,kamdomo kamekuwa kama kameungua moto ivi, yaan kingozi cha juu kinababuka kidogo kidogo.

Wajuz wa mambo naomba kujua dawa yake HASA ZA KIENYEJI.
Akapime afya.
 
Wakuu amkeni mnipe dawa.


Wiki ilopita nilipata kadada kazuri,nikaenda nako lodge ,
Kama kawaida yangu nikazama uvinza.

Saiv ndugu zangu mdomo unababuka uku kwa chini afu unatengeneza kama utando ivi.

Asa sijui ni kwa sabab ya uvinza au tatizo nn.


Naombeni dawa ya kujikwamua na hili tatizo.

NB;NIMEAPA SITAZAMA UVINZA KWA MWINGNE YOYOTE BALI KWA MKE WANGU MPENDWA TU.


asanteni.
Kumbe...
Nimewahi leta uzi humu kuwaambia muache kuzama chumvini. Hapo umehamishia fangas ya ukeni kwake mdoni kwako. Alafu kwa nini mnatumbukiza hadi malips? Wenzenu hucheza ma ulimi tu.
 
Ulimi wenyewe haupati madhara?
Kumbe...
Nimewahi leta uzi humu kuwaambia muache kuzama chumvini. Hapo umehamishia fangas ya ukeni kwake mdoni kwako. Alafu kwa nini mnatumbukiza hadi malips? Wenzenu hucheza ma ulimi tu.
 
Huyu jamaa bhana alianza kwa kusema ni rafiki yake ila hali ilivyo zidi kuwa mbaya ikabidi aseme tu ni yeye.
 
Wakuu amkeni mnipe dawa.


Wiki ilopita nilipata kadada kazuri,nikaenda nako lodge ,
Kama kawaida yangu nikazama uvinza.

Saiv ndugu zangu mdomo unababuka uku kwa chini afu unatengeneza kama utando ivi.

Asa sijui ni kwa sabab ya uvinza au tatizo nn.


Naombeni dawa ya kujikwamua na hili tatizo.

NB;NIMEAPA SITAZAMA UVINZA KWA MWINGNE YOYOTE BALI KWA MKE WANGU MPENDWA TU.


asanteni.
weka picha tuone
 
Back
Top Bottom