sukariyawarembo
Senior Member
- Aug 2, 2019
- 167
- 115
- Thread starter
-
- #41
Sawa shukran mkuuHydrogen peroxide antiseptic mouth wash na vitamin B complex (multivitamin ).
Hydrogen peroxide kma atakua ana bacterial or fungal infections itaua vijidudu na vitamin B complex inaweza kukausha vidonda pia.
Lakin km atakua na upungufu wa vitamins basi B complex itamuongezea Vitamins na kukausha vidonda vyake.
Na hvyo vidonge vya B complex inatakiwa apate 3 tablets ama vidonge 30 ameze 2Γ3 km tatzo ni la muda mrefu kama kuanzia wiki tatu na kuendelea.
Ila km tatizo ni la muda mfupi yan halina muda mrefu kumuanza mathalan km wiki moja hivi basi vidonge 10 ama tablet 1 itamtosha na ameze 1Γ2 basi.
Tuko pamoja sanaKamwe sisi wachezaji wa UVINZA FC hatutatetereka na jiraa lililo mkuta mchezaji mwenzetu
Tutaendelea kukaza na msimamo wetu na kupambana na mechi zilizosalia
Harufu tamu ile mkuu tushaizoea,,cha muhim usafi tuIvi na ile harufu tu (nasemea natural smel) mtu unaanzaje kuzama kule...mmmh kweli tunatofautiana
Mkuu kwanini unatupotezea muda hivi?!!!!
Unazingua aisee**
Inakuwaje unashindwa kuwa mstaarabu..
Ndani ya SAA moja unaandika nyuzi mbili ukizungumzia mada moja..
Mara ulizama uvinza sasa hivi unasema rafiki yako ana shida**
Sijui mdomo wa juu unababuka mara unasahau ulichoandika juu unahamia kwenye mdomo wa chini!!
Una tatizo gani mkuu???
Kwa kawaida kwa Me huwa vinatoka kama sio mkojo ni Mbegu tu ila kwa Ke huwa vinatoka na kuingia vingiii hapana mkuu...[emoji51][emoji51]Harufu tamu ile mkuu tushaizoea,,cha muhim usafi tu
Med oral ipo pharmacy, ila sasa hivi kwakuwa una michubuko usiitumie bila kumwona drNaipataje hiyo oral med
Au chai? Mtu kachubuka midomo yupo jf?ππππUshauri mzuri sana wenye kuelimisha japo umemalizia na bonge la msonyooo.. BTW unaamini story zake?
Tafadhali Tunaomba Mgonjwa Atibiwe Kwanza Mengine BaadaeEti jamaa yako!! si useme ulichokifanya usaidiwe!! Kila siku mnakatazwa lakini hamsikii.
Ukome [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakuu amkeni mnipe dawa.
Wiki ilopita nilipata kadada kazuri,nikaenda nako lodge ,
Kama kawaida yangu nikazama uvinza.
Saiv ndugu zangu mdomo unababuka uku kwa chini afu unatengeneza kama utando ivi.
Asa sijui ni kwa sabab ya uvinza au tatizo nn.
Naombeni dawa ya kujikwamua na hili tatizo.
NB;NIMEAPA SITAZAMA UVINZA KWA MWINGNE YOYOTE BALI KWA MKE WANGU MPENDWA TU.
asanteni.
Hata akiwa na michubuko anaitumia tena sana.Kwasababu ile inakausha vidonda.Med oral ipo pharmacy, ila sasa hivi kwakuwa una michubuko usiitumie bila kumwona dr
Msiwacheke maana nasikia nyie ndio huwa mnawaomba wawafanyie hivyo.Eti jamaa yako!! si useme ulichokifanya usaidiwe!! Kila siku mnakatazwa lakini hamsikii.
Ukome [emoji23][emoji23][emoji23]
Akapime afya.Wakuu,
Naomba kujua dawa ya vidonda nje ya mdomo yaan kwenye lips..
Kuna jamaa angu kababuka mdomo wa chini,,afu mda mwingne hutengeneza utando mweupe,,
Hali iko ivo jamaa anahangaika sana,,kamdomo kamekuwa kama kameungua moto ivi, yaan kingozi cha juu kinababuka kidogo kidogo.
Wajuz wa mambo naomba kujua dawa yake HASA ZA KIENYEJI.
Kumbe...Wakuu amkeni mnipe dawa.
Wiki ilopita nilipata kadada kazuri,nikaenda nako lodge ,
Kama kawaida yangu nikazama uvinza.
Saiv ndugu zangu mdomo unababuka uku kwa chini afu unatengeneza kama utando ivi.
Asa sijui ni kwa sabab ya uvinza au tatizo nn.
Naombeni dawa ya kujikwamua na hili tatizo.
NB;NIMEAPA SITAZAMA UVINZA KWA MWINGNE YOYOTE BALI KWA MKE WANGU MPENDWA TU.
asanteni.
Kumbe...
Nimewahi leta uzi humu kuwaambia muache kuzama chumvini. Hapo umehamishia fangas ya ukeni kwake mdoni kwako. Alafu kwa nini mnatumbukiza hadi malips? Wenzenu hucheza ma ulimi tu.
πππ na wewe nikikuomba hujui kukataa?Msiwacheke maana nasikia nyie ndio huwa mnawaomba wawafanyie hivyo.
weka picha tuoneWakuu amkeni mnipe dawa.
Wiki ilopita nilipata kadada kazuri,nikaenda nako lodge ,
Kama kawaida yangu nikazama uvinza.
Saiv ndugu zangu mdomo unababuka uku kwa chini afu unatengeneza kama utando ivi.
Asa sijui ni kwa sabab ya uvinza au tatizo nn.
Naombeni dawa ya kujikwamua na hili tatizo.
NB;NIMEAPA SITAZAMA UVINZA KWA MWINGNE YOYOTE BALI KWA MKE WANGU MPENDWA TU.
asanteni.