Mdomo unababuka huku kwa chini afu unatengeneza kama utando

Sawa shukran mkuu
 
AVATAR TU YAONESHA WEWE NI NANI!! ACHA UFSKA NA USHARATI NA BADO. Tubu acha nenda hospitali katibiwe ukiendekeza kansayamdomo ama koo inakunyemelea fasta
 

Huyo rafik angu ndo kaandika hiyo ya pili.
 
mh mkuu hapana ile Acid nayo duh...
Harufu tamu ile mkuu tushaizoea,,cha muhim usafi tu
Kwa kawaida kwa Me huwa vinatoka kama sio mkojo ni Mbegu tu ila kwa Ke huwa vinatoka na kuingia vingiii hapana mkuu...[emoji51][emoji51]
 
Eti jamaa yako!! si useme ulichokifanya usaidiwe!! Kila siku mnakatazwa lakini hamsikii.
Ukome [emoji23][emoji23][emoji23]
Tafadhali Tunaomba Mgonjwa Atibiwe Kwanza Mengine Baadae
 

Tumia hydrogen peroxide inaweZa kukusaidia kwa issue ya kinywa
 
Med oral ipo pharmacy, ila sasa hivi kwakuwa una michubuko usiitumie bila kumwona dr
Hata akiwa na michubuko anaitumia tena sana.Kwasababu ile inakausha vidonda.
Kazi yake ile ni kuondoa fungal infections,bacterial infections,kutibu majeraha ya mdomo na kukausha vidonda vya mdomo pia ,pia inatibu matatizo ya mdomo km amoebic gingivalis na mdomo kunuka .
 
Kumbe ni wewe ndiyo mwenye matatizo, alafu unasema jamaa yako...

Weka picha members wakushauri vizuri...


Cc: mahondaw
 
Eti jamaa yako!! si useme ulichokifanya usaidiwe!! Kila siku mnakatazwa lakini hamsikii.
Ukome [emoji23][emoji23][emoji23]
Msiwacheke maana nasikia nyie ndio huwa mnawaomba wawafanyie hivyo.
 
Akapime afya.
 
Kumbe...
Nimewahi leta uzi humu kuwaambia muache kuzama chumvini. Hapo umehamishia fangas ya ukeni kwake mdoni kwako. Alafu kwa nini mnatumbukiza hadi malips? Wenzenu hucheza ma ulimi tu.
 
Ulimi wenyewe haupati madhara?
Kumbe...
Nimewahi leta uzi humu kuwaambia muache kuzama chumvini. Hapo umehamishia fangas ya ukeni kwake mdoni kwako. Alafu kwa nini mnatumbukiza hadi malips? Wenzenu hucheza ma ulimi tu.
 
Huyu jamaa bhana alianza kwa kusema ni rafiki yake ila hali ilivyo zidi kuwa mbaya ikabidi aseme tu ni yeye.
 
weka picha tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…