Camcorowamodo
Senior Member
- Sep 12, 2024
- 160
- 150
Watokee wapi? Ungekuwa na wew ni mmoja wao!!Wanahitajika ingalao MDUDE kama 50 kila Mkoa Tanzania ili pakae sawa kisiasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watokee wapi? Ungekuwa na wew ni mmoja wao!!Wanahitajika ingalao MDUDE kama 50 kila Mkoa Tanzania ili pakae sawa kisiasa.
Umbwa ndio chakula gani my, aka Mdude wa pili!! Acha matusi we mavi!Qmamako,umbwa wewe
Jiokoe wewe si ndio masiah walisikika wayahudi,unalia nini nawe ulikuwa kila siku unasema huwaogopi unawasubiri huko makongorosi!"Leo naota jua tangu wamenikamata, hawa watu wananitesa sana." Kauli ya Mdude Mpaluka Nyagali baada ya kuachiwa kwa dhamana.
"Walinigonga (kumpiga) mpaka wenyewe wakasema tumemzidishia dozi, wakaanza kuambiana 'atakata moto'." Mdude Mpaluka Nyagali
PIA SOMA
- LGE2024 - Polisi wasema kuna mambo hawakumalizana na Mdude jana kumhoji na kumchunguza, ndio maana wanaendelea kumshikilia
Me namshangaa sana kwa kweli yaani anahatarisha uhai wake kwa wajinga hawa waliojaa nchii ambao kimsingi hawana kaz yoyote ya maana zaid ya kushabikia mipira na mambo ambayo hayana maanaHuyu Mdude aachane na mpango wake huu wa kuawapigania watanzania ambao kimsingi bado wamelala.
Usikute wamemwingilia kinyume na maumbile ndiyo maana analia.
Penye wengi hapakosi kuwa na mengi. Ni msemo wa hekima.Huyu mdude sijui kwanini hakomi, atakuwa na matatizo ya akili
Ndio maana kuna watu wanapata ajali sababu ya kuonea watu, km hujaelewa pita hv"Leo naota jua tangu wamenikamata, hawa watu wananitesa sana." Kauli ya Mdude Mpaluka Nyagali baada ya kuachiwa kwa dhamana.
"Walinigonga (kumpiga) mpaka wenyewe wakasema tumemzidishia dozi, wakaanza kuambiana 'atakata moto'." Mdude Mpaluka Nyagali
PIA SOMA
- LGE2024 - Polisi wasema kuna mambo hawakumalizana na Mdude jana kumhoji na kumchunguza, ndio maana wanaendelea kumshikilia
Akome nini? Nawe ni sehemu ya wanaopenda kufurahia kutesa na kuua mkiamini hii nchi ni yenu na chama chenu, kama si siasa Mdude ameiba nini na ameficha wapi kisionekane miaka yote?Huyu mdude sijui kwanini hakomi, atakuwa na matatizo ya akili
Wapi alipoharibu amani! Mtu mmoja unawezaje kuharibu amani peke yako, wenye madaraka mnalinda madaraka yenu kwa kutesa na kuua watu.Aache jeuri na kuhatarisha amani ya nchi.yaani watu tuharibu amani ya nchi kwa upumbavu wake
Wewe nd una matatizo ya akili.Huyu mdude sijui kwanini hakomi, atakuwa na matatizo ya akili
Huyu jamaa aangaliwe kwa umakini itakua police kuna kitu nae"Leo naota jua tangu wamenikamata, hawa watu wananitesa sana." Kauli ya Mdude Mpaluka Nyagali baada ya kuachiwa kwa dhamana.
"Walinigonga (kumpiga) mpaka wenyewe wakasema tumemzidishia dozi, wakaanza kuambiana 'atakata moto'." Mdude Mpaluka Nyagali
PIA SOMA
- LGE2024 - Polisi wasema kuna mambo hawakumalizana na Mdude jana kumhoji na kumchunguza, ndio maana wanaendelea kumshikilia
Huyo ndyo mwanaharakati siyo wanaharakati nyinyi mnajificha jf sasa nani atawaona hata wakina Jomo kenyatta wakati wanafanya harakati zao walikuwa hawajifichi mnanishangaza wanaharakati wa mchongo jitokezeni hadharani kama Fidel castroHana matatizo yeyote ila kachoshwa na wizi wa chama cha mapinduzi
Chadema wanamponza aisee,ajitafakari."Leo naota jua tangu wamenikamata, hawa watu wananitesa sana." Kauli ya Mdude Mpaluka Nyagali baada ya kuachiwa kwa dhamana.
"Walinigonga (kumpiga) mpaka wenyewe wakasema tumemzidishia dozi, wakaanza kuambiana 'atakata moto'." Mdude Mpaluka Nyagali
PIA SOMA
- LGE2024 - Polisi wasema kuna mambo hawakumalizana na Mdude jana kumhoji na kumchunguza, ndio maana wanaendelea kumshikilia
Mdomo wake hauna break na hakuna namna lazima afunzwe na ulimwenguMakosa yake ni yapi?
Chadema na project ya kupiga hela na si kwa ajili ya kuwapigania watanzaniaMe namshangaa sana kwa kweli yaani anahatarisha uhai wake kwa wajinga hawa waliojaa nchii ambao kimsingi hawana kaz yoyote ya maana zaid ya kushabikia mipira na mambo ambayo hayana maana