Mdude alia kwa uchungu asema "Hawa watu wananitesa sana"

Mdude alia kwa uchungu asema "Hawa watu wananitesa sana"

Huwezi sikia mtoto wa Mbowe, Lema, Mrema, Mnyika na vigogo wengine wa CHADEMA wakifanya harakati za kijinga kama Mdude. Laana ya kutomshauri vizuri Mdude itawatafuna Mbowe na genge lake. Mdude hana mwongozo wowote ndo maana anajikuta kwenye matatizo kila mara.
Na kibaya zaidi hata matusi anayoporomosha kwenye mitandao hawa jamaa wanakuwa wamemtumia.Hapa ndio laana lazima iwatafune.
 
Kamanda analia mbele ya kamera!

Ndo ajue kushindana na State sio kazi rahisi, akaze kishundu kama ameamua kuwa mpambanaji.

Haya ndo anasikitika washamgonga sasa (ishachapwa)
 
Kamanda analia mbele ya kamera!

Ndo ajue kushindana na State sio kazi rahisi, akaze kishundu kama ameamua kuwa mpambanaji.

Haya ndo anasikitika washamgonga sasa (ishachapwa)
Wewe utakuwa JINI si binadamu. Kufurahia mateso ya wenzako wanaopingana na utekaji na mauaji na ufisadi na tamaa ya madaraka wewe wa ajabuajabu haijapata kutokea.
 
Wewe utakuwa JINI si binadamu. Kufurahia mateso ya wenzako wanaopingana na utekaji na mauaji na ufisadi na tamaa ya madaraka wewe wa ajabuajabu haijapata kutokea.
Mdude anastahili zaidi ya anachopitia kwa sasa .Jitu zima linatumiwa na akina Lema kwa faida zao za KISIASA tu ,Mdude jiongeze.
 
Mdude anastahili zaidi ya anachopitia kwa sasa .Jitu zima linatumiwa na akina Lema kwa faida zao za KISIASA tu ,Mdude jiongeze.
Wewe CHAWA unatumiwa na nani? Aibu kwao, MDUDE anapingana na watekaji, mafisadi na wenye tamaa ya madaraka.
 
Wewe CHAWA unatumiwa na nani? Aibu kwao, MDUDE anapingana na watekaji, mafisadi na wenye tamaa ya madaraka.
Acha hizo ,huyu chizi hajaanza leo kutukana viongozi na anatumwa na waoga
 
Back
Top Bottom