Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Hivi huu ujinga jeshi la polisi na CCM wataendelea kuufanya mpaka lini?Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi amefungua shauri chini ya hati ya dharura katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Mbeya, akipinga kushikiliwa kwa Mdude Nyagali na Jeshi la Polisi.
Pia, Soma: Makosa Matatu ya Mdude Nyagali: Kujeruhi, Matusi na Kuvuruga Uchaguzi, Wakili Boniface Mwabukusi kumtetea
Shauri hilo, linalohusu madai ya kushikiliwa bila msingi wa kisheria, linatarajiwa kusikilizwa kesho, Novemba 26, 2024. Mwabukusi ameeleza kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha haki ya Nyagali inalindwa kwa mujibu wa sheria za nchi.
Mdude Mpaluke Nyagali.Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi amefungua shauri chini ya hati ya dharura katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Mbeya, akipinga kushikiliwa kwa Mdude Nyagali na Jeshi la Polisi.
Pia, Soma: Makosa Matatu ya Mdude Nyagali: Kujeruhi, Matusi na Kuvuruga Uchaguzi, Wakili Boniface Mwabukusi kumtetea
Shauri hilo, linalohusu madai ya kushikiliwa bila msingi wa kisheria, linatarajiwa kusikilizwa kesho, Novemba 26, 2024. Mwabukusi ameeleza kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha haki ya Nyagali inalindwa kwa mujibu wa sheria za nchi.
Mwabukusi anapoteza muda. Mdude kakumbuka bwana yake Nyapala, katafuta kila sababu mpaka amfuate gerezani.Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi amefungua shauri chini ya hati ya dharura katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Mbeya, akipinga kushikiliwa kwa Mdude Nyagali na Jeshi la Polisi.
Pia, Soma: Makosa Matatu ya Mdude Nyagali: Kujeruhi, Matusi na Kuvuruga Uchaguzi, Wakili Boniface Mwabukusi kumtetea
Shauri hilo, linalohusu madai ya kushikiliwa bila msingi wa kisheria, linatarajiwa kusikilizwa kesho, Novemba 26, 2024. Mwabukusi ameeleza kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha haki ya Nyagali inalindwa kwa mujibu wa sheria za nchi.
Hilo jina tu linaonyesha huyu siyo Mtanzania. Linganisha sasa na mitusi yake kwenye mtandao. Huyu ni wa kutoka DRC au ZambiaMdude Mpaluke Nyagali.
RPC wa Songwe afukuzwe kaziMwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi amefungua shauri chini ya hati ya dharura katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Mbeya, akipinga kushikiliwa kwa Mdude Nyagali na Jeshi la Polisi.
Pia, Soma: Makosa Matatu ya Mdude Nyagali: Kujeruhi, Matusi na Kuvuruga Uchaguzi, Wakili Boniface Mwabukusi kumtetea
Shauri hilo, linalohusu madai ya kushikiliwa bila msingi wa kisheria, linatarajiwa kusikilizwa kesho, Novemba 26, 2024. Mwabukusi ameeleza kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha haki ya Nyagali inalindwa kwa mujibu wa sheria za nchi.
Matusi hayatakuondolea huo Umasikini wako unaokuandamaMwabukusi anapoteza muda. Mdude kakumbuka bwana yake Nyapala, katafuta kila sababu mpaka amfuate gerezani.
Achana na jina lake, mimi huwa ninamtafakari sana huyu jamaa simuelewi.Hilo jina tu linaonyesha huyu siyo Mtanzania. Linganisha sasa na mitusi yake kwenye mtandao. Huyu ni wa kutoka DRC au Zambia
Chama chenu kinakosa mwelekeo pale mnaposhindwa kuwalea vijana wenu kwa maadili mema. Muache akapakwe mafuta tu na nyapalaMatusi hayatakuondolea huo Umasikini wako unaokuandama
Hata hapo Vwawa, je umewahi kusikia ana ndugu yeyote?? Maana akipotea ni CDM tu ndiyo wanahangaika kumtafutaAchana na jina lake, mimi huwa ninamtafakari sana huyu jamaa simuelewi.
Jamaa anajiamini kuliko hata Mbowe.
Huwa ninastaajabu.
Nimeonana nae mara nyingi pale Vwawa.
Wewe ndiyo unauona ujinga lakini wenzako wanapandishwa vyeo na kuongezwa mishara kwa vitendo hivyoHivi huu ujinga jeshi la polisi na CCM wataendelea kuufanya mpaka lini?
Huyo ni Mnyiha, babu zake wamezikwa Ihanda.Hata hapo Vwawa, je umewahi kusikia ana ndugu yeyote?? Maana akipotea ni CDM tu ndiyo wanahangaika kumtafuta