WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Acha ujinga.Hilo jina tu linaonyesha huyu siyo Mtanzania. Linganisha sasa na mitusi yake kwenye mtandao. Huyu ni wa kutoka DRC au Zambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga.Hilo jina tu linaonyesha huyu siyo Mtanzania. Linganisha sasa na mitusi yake kwenye mtandao. Huyu ni wa kutoka DRC au Zambia
Kwa status ya Mwabukusi kumtetea punguani ni upumbavu.Thanks wakili msomiView attachment 3161277
Kuna siku polisi watajiingiza kwenye matatizo na wataomba msaada kwetu wananchi.Hivi huu ujinga jeshi la polisi na CCM wataendelea kuufanya mpaka lini?
Maadili ya kusifia sifia ni upumbavu.Chama chenu kinakosa mwelekeo pale mnaposhindwa kuwalea vijana wenu kwa maadili mema. Muache akapakwe mafuta tu na nyapala
Au Mdude ni mtalaka wako?Hata hapo Vwawa, je umewahi kusikia ana ndugu yeyote?? Maana akipotea ni CDM tu ndiyo wanahangaika kumtafuta
Ujumbe umefika barabaraHuyo ni Mnyiha, babu zake wamezikwa Ihanda.
Jadili hoja zingine, hiyo ya uraia haina mashiko.
Tujadili ni kwa nini jamaa anajiamini sana na haogopi chochote, wewe unadhani ni kwa nini?
Acha ujinga kwenye mambo ya msingi!! Mbona kipindi anatembea na mamako huku sema?Mwabukusi anapoteza muda. Mdude kakumbuka bwana yake Nyapala, katafuta kila sababu mpaka amfuate gerezani.
Asante sana kwa kumchana huyo jamaa.Acha ujinga kwenye mambo ya msingi!! Mbona kipindi anatembea na mamako huku sema?
Jeshi la polisiNi Bumunda lipi limemkamata Mdude?
Hivi ile ofisi yake karibu na 'Mkulima' bado ipo?Achana na jina lake, mimi huwa ninamtafakari sana huyu jamaa simuelewi.
Jamaa anajiamini kuliko hata Mbowe.
Huwa ninastaajabu.
Nimeonana nae mara nyingi pale Vwawa.
Hv hakuna uwezekano wa kumfungulia kesi personal ili wapate personal effect, wapate kujifunza kuwa kun wakati madhara wanayoyafanya wanawaathiri personally. watapata pa kujifunza!!Mwanaharakati na Rais wa TLS Boniface Mwabukusi amefungua shauri chini ya hati ya dharura katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Mbeya, akipinga kushikiliwa kwa Mdude Nyagali na Jeshi la Polisi.
Pia, Soma: Makosa Matatu ya Mdude Nyagali: Kujeruhi, Matusi na Kuvuruga Uchaguzi, Wakili Boniface Mwabukusi kumtetea
Shauri hilo, linalohusu madai ya kushikiliwa bila msingi wa kisheria, linatarajiwa kusikilizwa kesho, Novemba 26, 2024. Mwabukusi ameeleza kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha haki ya Nyagali inalindwa kwa mujibu wa sheria za nchi.
Tulia we choko, wkt wa jiwe ulikuwa unalialia humu safari shangazi yako kapewa cheo na saa mbovu muda wote ni shombo za kusifia tu mavi ya kijani.Mwabukusi anapoteza muda. Mdude kakumbuka bwana yake Nyapala, katafuta kila sababu mpaka amfuate gerezani.
Yuko palepale, na haogopi.Hivi ile ofisi yake karibu na 'Mkulima' bado ipo?
Tulia we choko, wkt wa jiwe ulikuwa unalialia humu safari shangazi yako kapewa cheo na saa mbovu muda wote ni shombo za kusifia tu mavi ya kijani.Tulia we choko, wkt wa jiwe ulikuwa unalialia humu safari shangazi yako kapewa cheo na saa mbovu muda wote ni shombo za kusifia tu mavi ya kijani.
Acha ujinga kwenye mambo ya msingi!! Mbona kipindi anatembea na mamako huku sema?Acha ujinga kwenye mambo ya msingi!! Mbona kipindi anatembea na mamako huku sema?
Au Mdude ni mtalaka wako?Au Mdude ni mtalaka wako?