LGE2024 Mdude amburuza kortini RPC Songwe, Mwabukusi kumuwakilisha katika kesi hiyo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ingekua uchanguzi hii fomu inge-enguliwa mapema sana
 
Inasikitisha sana SIRIKALI kupambana na raia ambao wanatoa maoni ambayo yanasaidia TAIFA ila wanaonekana MWIBA.....wawaige wamarekani kwenye uhuru wa maoni maana mifano yao wanapenda kuitumia marekani kwa kusema "mbona hata marekani wanadaiwa".
 
Inasikitisha sana SIRIKALI kupambana na raia ambao wanatoa maoni ambayo yanasaidia TAIFA ila wanaonekana MWIBA.....wawaige wamarekani kwenye uhuru wa maoni maana mifano yao wanapenda kuitumia marekani kwa kusema "mbona hata marekani wanadaiwa".
Huyu Mdude huwa hatoi maoni bali anatukana. Mbona hujashikwa wewe??
 
You are REQUIRED, inakuaje barua rasmi tena ya mahakama kama hiyo inakua na typing error
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…