Mdude Chade amkosoa Rais Samia, aseme nchi haiko salama kama Rais Samia alivyowapongeza PolisiTz

Sumu ya Nyigu hakwepeshi kitu black and white....watu wanatekwa ,majizi yanaiibia serikali as if hatuna secret service wa kuyafichua hayo mambo ,mikodi daily inaongezeka how come usema nchi ipo salama? Hata congo kwenye vita kuna sehemu shughuli zinaendelea fresh tu...Maana Mulilo anasema kama nchi haiko salama basi hata kikeke asingefika ofisini kwake kumuhoji maana angeporwa kamera.
 
Ukweli mchungu, ila machawa yatasema Mama ametukanwa🤣🤣
 
Hivi CDM imekosa kabisa watu wakufanya nao kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…