Mdude Chadema: Hotuba ya Rais Samia jana ni hotuba mbovu zaidi kuwahi kutokea Tanzania

Mdude Chadema: Hotuba ya Rais Samia jana ni hotuba mbovu zaidi kuwahi kutokea Tanzania

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Kada wa CHADEMA, Mdude Nyagali kwenye video fupi inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii amedokeza kuwa hotuba aliyoitoa jana Rais Samia ni hotuba mbovu zaidi kuwahi kutokea Tanzania.

Siku ya jana Rais Samia wakati anahutubia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi alitoa hotuba iliyoleta hisia mseto kwa wananchi kutokana na baadhi ya hoja alizoziibua kwenye hotuba hiyo.

Mdude amedokeza kuwa katika Marais wote waliowahi kutokea Tanzania, siku ya jana Rais Samia alitoa hotuba mbaya zaidi kuwazidi wote

Soma Pia: Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

 
Kada wa CHADEMA, Mdude Nyagali kwenye video fupi inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii amedokeza kuwa hotuba aliyoitoa jana Rais Samia ni hotuba mbovu zaidi kuwahi kutokea Tanzania.

Siku ya jana Rais Samia wakati anahutubia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi alitoa hotuba iliyoleta hisia mseto kwa wananchi kutokana na baadhi ya hoja alizoziibua kwenye hotuba hiyo.

Mdude amedokeza kuwa katika Marais wote waliowahi kutokea Tanzania, siku ya jana Rais Samia alitoa hotuba mbaya zaidi kuwazidi wote

Soma Pia: Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

View attachment 3099483
Amewachana live nyie vibaraka na waliowatuma.

Mwisho sio kazi ya Rais kutoa hotuba ya kufurahisha wahuni
 
Kada wa CHADEMA, Mdude Nyagali kwenye video fupi inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii amedokeza kuwa hotuba aliyoitoa jana Rais Samia ni hotuba mbovu zaidi kuwahi kutokea Tanzania.

Siku ya jana Rais Samia wakati anahutubia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi alitoa hotuba iliyoleta hisia mseto kwa wananchi kutokana na baadhi ya hoja alizoziibua kwenye hotuba hiyo.

Mdude amedokeza kuwa katika Marais wote waliowahi kutokea Tanzania, siku ya jana Rais Samia alitoa hotuba mbaya zaidi kuwazidi wote

Soma Pia: Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

View attachment 3099483
Mdude ana tatizo la Afya ya akili
 
Naungana na mdude kuwa tuna rais wa hovyo sana.rais anafurahia mauaji ya wananchi huyo hafai kabisa kuendelea kutuongoza.anatakiwaaondolewe Kwa nguvu zote ikiwezekana hata Kwa kumwaga damu
 
Naungana na mdude kuwa tuna rais wa hovyo sana.rais anafurahia mauaji ya wananchi huyo hafai kabisa kuendelea kutuongoza.anatakiwaaondolewe Kwa nguvu zote ikiwezekana hata Kwa kumwaga damu
We jiongeleshe tu,kibano kinakuja
 
Back
Top Bottom