Policcm ni mbwa tu kama mbwa wengine.
Kwahiyo unataka kusemaje?
Nenda basi kamwambie Samia!
Hata Takukuru?CCM na vyombo vyake vya dola vya ulinzi na usalama (ukiwatoa JWTZ) ni wakala wa shetani.
Unawatoaje JWTZ?CCM na vyombo vyake vya dola vya ulinzi na usalama (ukiwatoa JWTZ) ni wakala wa shetani.
Na shetani mwenyewe alishatangulia Kwa mwenye maamuzi.!CCM na vyombo vyake vya dola vya ulinzi na usalama (ukiwatoa JWTZ) ni wakala wa shetani.
Mateso yoote lakini teso la kupigwa shoti kwenye (nyanihaoni...) ilo teso natumai atashetani hajalipitisha sjui mafulishi wetu wamelitoa wapi asee....pole tena asee mdude!!View attachment 2474958
---
Nilipotekwa 2019 polisi walikataa kutoa PF3,lakini haikuzuia madaktari wa hospital ya kanda Mbeya kunihudumia tena kwa emergency kulingana na hali mbaya niliyokuwa nayo mpaka nikapona.
Binafsi naona madaktari wana mchango mkubwa kuliko sekta zingine. Mungu awabariki madaktari.
Kosa kubwa sana kuua watu kisa wanakukosoa......Kwani wewe Mungu ?Kuna kingine ambacho ilibidi awashukuru hao waliomtibu japo yeye hakijui walipewa maelekezo toka juu wakutie sindano la sumu ila hawakutekeleza tu maagizo
Kuna kingine ambacho ilibidi awashukuru hao waliomtibu japo yeye hakijui walipewa maelekezo toka juu wakutie sindano la sumu ila hawakutekeleza tu maagizo
Vyombo vya dola ni vya Tanzania, na siyo vya CCM.CCM na vyombo vyake vya dola vya ulinzi na usalama (ukiwatoa JWTZ) ni wakala wa shetani.
Mtandao wa bando ndio nini hata kuandika huwezi we kweli kichwa kabejiunaijua sumu au unasimiliwa kwenu sitimba baada ya kupata mtandao wa bando