Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdude hawawezi kuwa muoga, mlimkomaza wenyewe mkamuongezea ujasiri alionao.Uwoga!
Unadhani wote wanaofanya kazi idara ya usalama wana roho mbaya?Taarifa amepata wapi?
Tukosowane kwa staha.We mburula wa kalebezo kaa kimya
Unaweza kukuta Ilikuwa moja ya ajenda za Kamati kuu ya Ufipa stTaarifa amepata wapi?
Naona hamjui hata maana ya matusi, mtu ukiwa na matendo yanayofanana na yule aliyeitwa hilo jina, nawe ukiitwa hivyo hujatukanwa, that's your nickname.Aache matusi bhana....kutumia majina kama Yezebeli kwa unaowakosoa sio uungwana.
Uoga akili MkuUwoga!
Unaweza kuzitaja hizo tabia za Yezebeli ulizoziona kwake?...acheni kushabikia matusi, kuweni watu wazima.Naona hamjui hata maana ya matusi, mtu ukiwa na matendo yanayofanana na yule aliyeitwa hilo jina, nawe ukiitwa hivyo hujatukanwa, that's your nickname.
Majina yakiwa mazuri mnayapenda, ila mabaya hamyataki, hata kama mnasifa hizo, sio poa.
Jamaa huyu akili zake anazijua yeye. Huwezi kumuita rais wetu jina la shetani, ni dharau sana.