Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Ila kama mtu ni jinamizi staha Kwa kwake mwiko🤸🤸Tukosowane kwa staha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kama mtu ni jinamizi staha Kwa kwake mwiko🤸🤸Tukosowane kwa staha.
Huyu jamaa ana kera sana! Yeye nani hadi Ikulu kabisa yaani imfikirie yeye? Ana nini kikubwa? Ache huu utoto sasa.🙏🙏🙏
Kumbe nje ya Mahakama yupo anayewaweka na kuwatoa washtakiwa jela...Mungu tusaidie Watanzania! Sasa naweza kuielewa ile tuhuma dhidi ya Mahakama kusubiri maagizo kutoka juu katika kutenda na kutoa haki.Wasiwasi wake tu, Samia angetaka angumuacha jela.
Ule ulikuwa Utawala wa Jinamizi.
Muhimili ulio huru kwa asilimia 100 ni mmoja tu, hiyo mingine ina Uhuru wa karatasi tu na ni rahisi sana kuwa 'compromised' na muhimili mkuu.Kumbe nje ya Mahakama yupo anayewawaweka na kuwatoa washtakiwa jela...Mungu tusaidie Watanzania! Sasa naweza kuielewa ile tuhuma dhidi ya Mahakama kusubiri maagizo kutoka juu katika kutenda na kutoa haki.
Mdude anatafuta tu "attention' nyepesi.
Kama anataka asikike, apige kilele kuhusu mambo ya hovyo yanayofanywa na ccm kama hizi tozo watu watamsikia.
Ameteswa sana na Utawala wa Dhalimu Mwendazake, huenda ana ptsd.
Mdude ana matatizo ya kisaikolojia, anahitaji kupatiwa msaada.
Usifurahie kuteswa kwa Binadamu mwenzako ndugu.Hahaha saivi watazing'oa kabisa
Ninachokijua tu ni kwamba kama 'Deep State' wakiwa Wamekuamulia kweli hata huu ( huo ) muda wa kudai Wanakuwinda Kukuua ( Kukushughulikia ) hutoweza kuwa nao.
Mdude ni jeuri ukimtazama vi maneno vyake .. tena vinakera kwlkwelUsifurahie kuteswa kwa Binadamu mwenzako ndugu.
Ameteswa sana na Utawala wa Dhalimu Mwendazake, huenda ana ptsd.
Baki kuwa raia mwema acha chokochoko we ni mdogo sana kushindana na serikali. Heshimu mamlaka utaepukana na hicho kihoro. Huwezi kupingana na Biblia ambayo Mmarekani anaiheshimu. Heshimu mamlaka maana zote zatoka kwa Mungu.
Kwa nini basi mnaogopa mikutano ya kisiasa? Kama ungejiuliza hilo ungepata jibu na si huu ujinga uliouandika hapa>Nimemuangalia kwa muda mrefu, huyo kijana ana matatizo na baadhi ya wanaomshangilia wanatambua hilo ila pengine wanaogopa kumwambia ukweli apate tiba.
Ukitaka kujua mtu ana matatizo ya kisaikolojia anza kuangalia vile anavyoongea.
Ni katatizo ka kudhani kwamba watu wengi wanakutazama kumbe hamna mtu mwenye habari na wewe.
Najua wengi hawapo tayari kusikia hili, hakuna mtu anayeweza kuhangaika na mpinzani au mwanaharakati yeyote kwa sasa kwakuwa wameshajua hakuna madhara yoyote wanaweza kuleta kutokana na harakati zao za kisiasa.
Mimi mwenyewe nineanza kuingiwa na wasiwasi this guy needs our help.CHADEMA hawamwambii, wanamshangilia tu mtu mwenye matatizo.
Kama hatukani kuna ubaya gani?Mdude ni jeuri ukimtazama vi maneno vyake .. tena vinakera kwlkwel
Kwa nini basi mnaogopa mikutano ya kisiasa? Kama ungejiuliza hilo ungepata jibu na si huu ujinga uliouandika hapa>
Wasiwasi wake tu, Samia angetaka angumuacha jela.
Ule ulikuwa Utawala wa Jinamizi.
Chadema sio matusi ndugu acheni kutusingizia.Ahaha mwanachadema buana safari hii upo upande wa ccm