Tetesi: Mdude Chadema: Nimepata taarifa kuwa Ikulu wana mpango wa kunishughulikia kama enzi za mwendazake

Tetesi: Mdude Chadema: Nimepata taarifa kuwa Ikulu wana mpango wa kunishughulikia kama enzi za mwendazake

Huyo mpuuzi,
Anatafuta Kiki ya kuuzia kitabu chake
IMG-20220919-WA0001.jpg
 
Inaonekana anaintelijensia Kali sana huyu mtu.polisi wamwajiri ili awape uzoefu anaotumia ili kujua nyendo za wahalifu na kuzizima kabla hawajatekeleza
 
Hilo jina jipya ni hatari mno kulitamka.
 
Tatizo lake ni kutumia lugha chafu na za kejeli kufikisha ujumbe, wapinzani wapo wengi ila yeye ni MPUMBAVU hata mimi "ningemshughulikia" japo siipendi CCM.

Kuna namna ya kujenga hoja bila kutukana, kukejeli, kudhihaki na kukashifu wengine.

Adabu gani anamkashfu hadi Rais wa nchi!
Kiongozi anakosolewa kwa 'lugha' yoyote ile na mtu hatakiwi kushtakiwa kwa kuwa tu amemkosoa kiongozi, isipokuwa tu kama ukosoaji wake una madhara ya kiusalama wa Taifa. Watu wanaongea kwa tabia za makuzi yao namna walivyolelewa, mtu aliyekulia uswahilini huwezi tegemea akukosoe kama mtu aliyelelewa ushuani. Halafu hakunaga ukosoaji wa 'staha', unakosolewa kavukavu.
 

Attachments

  • 20220919_103637.jpg
    20220919_103637.jpg
    86.9 KB · Views: 1
Kama kuna mtu mwenye akili timamu Chadema na anamuunga mkono huyu kichaa basi ana matatizo makubwa.

Nadhani kauli ya Freeman Mbowe kuwazuia vichaa kama huyu Mdude kutukana viongozi somo bado halihaeleweka.

Au achunguzwe huyu huenda ana bwana wake jela Sasa anatafuta kila sababu arudishwe Kwa mume wake gerezani.
 
Mama Samia ni Chifu Hangaya na siyo malkia.

Kama mmemis Magufuli mseme huyu mama msimchukulie powa kihivyo anaweza kuwaonesha sura yake ya Pili.
Nyerere pia tulimuita majina kama "Mzee Mussa" na "Mchonga meno" wala hakuhamaki, kwenye siasa kuna mambo mengi.

Lakini wenye kumtukana sheria ifuate mkondo wake.
 
Back
Top Bottom