EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Huyu hafai hata kuwa mtendaji wa kijijiTuna umbrella kubwa sana la malezi mkuu mimi huwa nashangaa mtu kuwa mpinzani ni lazima uwe na lugha kali kali au zenye utata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hafai hata kuwa mtendaji wa kijijiTuna umbrella kubwa sana la malezi mkuu mimi huwa nashangaa mtu kuwa mpinzani ni lazima uwe na lugha kali kali au zenye utata?
Mdude aliwahi kuikana hii akaunti si yake
Chadema nao ni kama wanamnyamazia wangemuonya kwenye vikao vya ndani.Serikali inamchelewesha mno
Chadema nayo haiwakanyi vijana
Hujui siasa nenda chitchat.
Vijana Wana mihemko Sana,Chadema sio matusi ndugu acheni kutusingizia.
Chadema sio Chama cha Kikomunisti.Mwanachadema anaunga mkono mwanachadema mwenzie kufa [emoji16]
Unaanza kuweweseka,utashughulikiwa sawasawa
Aisee kunapatikana wapi na ni bei gani?Huyo mpuuzi,
Anatafuta Kiki ya kuuzia kitabu chake View attachment 2361360
Kiongozi anakosolewa kwa 'lugha' yoyote ile na mtu hatakiwi kushtakiwa kwa kuwa tu amemkosoa kiongozi, isipokuwa tu kama ukosoaji wake una madhara ya kiusalama wa Taifa. Watu wanaongea kwa tabia za makuzi yao namna walivyolelewa, mtu aliyekulia uswahilini huwezi tegemea akukosoe kama mtu aliyelelewa ushuani. Halafu hakunaga ukosoaji wa 'staha', unakosolewa kavukavu.Tatizo lake ni kutumia lugha chafu na za kejeli kufikisha ujumbe, wapinzani wapo wengi ila yeye ni MPUMBAVU hata mimi "ningemshughulikia" japo siipendi CCM.
Kuna namna ya kujenga hoja bila kutukana, kukejeli, kudhihaki na kukashifu wengine.
Adabu gani anamkashfu hadi Rais wa nchi!
Kama kuna mtu mwenye akili timamu Chadema na anamuunga mkono huyu kichaa basi ana matatizo makubwa.
Mama Samia ni Chifu Hangaya na siyo malkia.Malkia Yazebel sio tusi.
Nyerere pia tulimuita majina kama "Mzee Mussa" na "Mchonga meno" wala hakuhamaki, kwenye siasa kuna mambo mengi.Mama Samia ni Chifu Hangaya na siyo malkia.
Kama mmemis Magufuli mseme huyu mama msimchukulie powa kihivyo anaweza kuwaonesha sura yake ya Pili.
Huyu kijana sio mzima kichwani, hawe makini asije acha familia yake kwenye majonzi na ukiwa
Kwa wenye taarifaTaarifa amepata wapi?
Mfia dini huyo, a.k.a mvaa kobazi. Ndugu zake ni wa Imani yake tuMwanachadema anaunga mkono mwanachadema mwenzie kufa [emoji16]