mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Hata mimi nahisi,yaani serikali na dola yake yote eti ikae kumfikiria mdude ambaye hana hata silaha ya kienyeji[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mdude ana matatizo ya kisaikolojia, anahitaji kupatiwa msaada.