Tetesi: Mdude Chadema: Nimepata taarifa kuwa Ikulu wana mpango wa kunishughulikia kama enzi za mwendazake

Tetesi: Mdude Chadema: Nimepata taarifa kuwa Ikulu wana mpango wa kunishughulikia kama enzi za mwendazake


Mdude ana matatizo ya kisaikolojia, anahitaji kupatiwa msaada.
Hata mimi nahisi,yaani serikali na dola yake yote eti ikae kumfikiria mdude ambaye hana hata silaha ya kienyeji[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ikulu ya malkia yezebeli ni ya wapi?tuanzie hapo kwanza,maana watu mnamshambulia mdude pasipokujua hiyo ikulu in ya wapi?Hatawampeleke mahakamani hakutakuwa na kosa hapo
 
Wewe umelazimishwa nanani kiropoka kila jambo?
Tukikuambia uoneshe matusi waliyotukana utatuonesha?
Mkapa alishawahi kuita watu malofa hapa alifanywa nn kama kweli mnayachukia matusi?
Polepole alitukana wqngapi?.alifanywa nn lini na wapi?
Kuwa mtu mzima mzee
Endelea kumdanganya!
 
Mpuuzi ni wewe! Kodi yake na yako ndiyo inamfanya ainue mkia na kukata anga pande zote za dunia na kuishi kimalkia! Alitakiwa awe na adabu yeye anaye kula vyetu Araa!
Uwe na akili kwani huyo chizi anashindwa kujenga hoja bila kutukana, mbona mwenyekiti wake wa chama hatukani ukifuatilia vizuri post zake hata wanachama wenzake hawa_comment wala ku_like ni kama wamemtenga
 
Kiongozi anakosolewa kwa 'lugha' yoyote ile na mtu hatakiwi kushtakiwa kwa kuwa tu amemkosoa kiongozi, isipokuwa tu kama ukosoaji wake una madhara ya kiusalama wa Taifa. Watu wanaongea kwa tabia za makuzi yao namna walivyolelewa, mtu aliyekulia uswahilini huwezi tegemea akukosoe kama mtu aliyelelewa ushuani. Halafu hakunaga ukosoaji wa 'staha', unakosolewa kavukavu.
Kumwita Rais "Yezebeli" we unaona ni sawa? Kwa mtazamo wako nchi hii wapinzani au wanachama wa upinzani wapo wangapi? Kuna anayetumia lugha chafu kama Mdude?
 
Hata mimi nahisi,yaani serikali na dola yake yote eti ikae kumfikiria mdude ambaye hana hata silaha ya kienyeji[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Watu wanadhani kufuatiliwa na serikali ni kwa kila mtu sijui. Kuna watu ambao wakifanya harakati zinawaingia watu, watu wanashawishika na kuwafuata, hao ni watu kama Tundu Lissu, watu wanaosoma na kutafiti kwelikweli. Sasa Mdude anafanya harakati gani? Anamshawishi nani na akashawishika kufanya kitu mpaka Ikulu ianze kumtazama?

Na kuna watu akiwaambia hivyo wanamuamini na kumwambia pambana kamanda😅

Ni mtu tu mwenye matatizo ya kisaikoloji anayehitaji kupatiwa msaada ili akae sawa, hata aweze kuongea kwa utaratibu aeleweke.
 
Kumwita Rais "Yezebeli" we unaona ni sawa? Kwa mtazamo wako nchi hii wapinzani au wanachama wa upinzani wapo wangapi? Kuna anayetumia lugha chafu kama Mdude?
Mtu huwajibika kwa anachokisema na sio kwa namna kinavyotafsiriwa na wapokeaji. Mdude hatuwezi kulazimisha afanane na wengine sababu kila mmoja ana namna alivyolelewa, usilazimishe aishi maisha ya wengine.
 
Mtu huwajibika kwa anachokisema na sio kwa namna kinavyotafsiriwa na wapokeaji. Mdude hatuwezi kulazimisha afanane na wengine sababu kila mmoja ana namna alivyolelewa, usilazimishe aishi maisha ya wengine.
Mkuu yaishe, kama ulivyosema kila ana-behavior ya mazingira aliyokulia, naona yako yanafanana na Mdude
 
Apa ndipo na semaga siasa ni mchezo mbaya huyu anacho kitafuta cha kwanza ni sifa
Cha pili uchonganishi kati ya serekali na raia wake

Mimi ua na jiuliza kama raisi ni tasisi kubwa ina shindwaje kuua nyani kama hawa ata kwa kutumia jambazi tu na mengine
Acheni sifa zitakuja kuwaponza one day na kama kweli jpm alikuwa ana waponda alikuwa sahii ni bora katika inchi tuwe na watu 10 wenye akili na uelewa kuliko kuwa na watu milioni na zaidi ambao hawana akili
 
Uwe na akili kwani huyo chizi anashindwa kujenga hoja bila kutukana, mbona mwenyekiti wake wa chama hatukani ukifuatilia vizuri post zake hata wanachama wenzake hawa_comment wala ku_like ni kama wamemtenga
Uwe na akili wewe usiyeelewa ni nani wa kuwajibika kwa nani! Matusi ni yapi hapo! Anayeandika ni mtu ambaye alitekwa na utawala wa huyu huyu na kuteswa kama mnyama na hakuna aliyechukuliwa hatua. Ana haki mwache awaite majina yote mabaya!
 
Apa ndipo na semaga siasa ni mchezo mbaya huyu anacho kitafuta cha kwanza ni sifa
Cha pili uchonganishi kati ya serekali na raia wake

Mimi ua na jiuliza kama raisi ni tasisi kubwa ina shindwaje kuua nyani kama hawa ata kwa kutumia jambazi tu na mengine
Acheni sifa zitakuja kuwaponza one day na kama kweli jpm alikuwa ana waponda alikuwa sahii ni bora katika inchi tuwe na watu 10 wenye akili na uelewa kuliko kuwa na watu milioni na zaidi ambao hawana akili
Wewe mbwa kwani kuua ni ndiyo sifa na ufumbuzi! Una kichwa cha kuku wewe! Umesema kweli lakini "kutumia majambazi" kumbe ndiyo mbinu zinazotumika!
 
Back
Top Bottom