General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Kabisa...Tatizo lake ni lugha chafu na za kejeli kufikisha ujumbe wake, wapinzani wapo wengi ila yeye ni MPUMBAVU hata mimi "ningemshughulikia" japo siipendi CCM.
Kuna namna ya kujenga hoja bila kutukana, kukejeli, kudhihaki na kukashifu wengine
Na Democrasia nikushindana kwa hoja na sio matusi dharau na kebehi.
Kwani wakubwa hana yeye...???
Mbona hana nidham asee huyu.Mi huwa na mchukulia kama mvuta bangi kama mateja tuu wengine wakule Karume