mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Hata mimi nahisi,yaani serikali na dola yake yote eti ikae kumfikiria mdude ambaye hana hata silaha ya kienyeji[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mdude ana matatizo ya kisaikolojia, anahitaji kupatiwa msaada.
Endelea kumdanganya!Wewe umelazimishwa nanani kiropoka kila jambo?
Tukikuambia uoneshe matusi waliyotukana utatuonesha?
Mkapa alishawahi kuita watu malofa hapa alifanywa nn kama kweli mnayachukia matusi?
Polepole alitukana wqngapi?.alifanywa nn lini na wapi?
Kuwa mtu mzima mzee
Kama wewe ulivyomdanganya polepole na magufuli?Endelea kumdanganya!
Uwe na akili kwani huyo chizi anashindwa kujenga hoja bila kutukana, mbona mwenyekiti wake wa chama hatukani ukifuatilia vizuri post zake hata wanachama wenzake hawa_comment wala ku_like ni kama wamemtengaMpuuzi ni wewe! Kodi yake na yako ndiyo inamfanya ainue mkia na kukata anga pande zote za dunia na kuishi kimalkia! Alitakiwa awe na adabu yeye anaye kula vyetu Araa!
Kumwita Rais "Yezebeli" we unaona ni sawa? Kwa mtazamo wako nchi hii wapinzani au wanachama wa upinzani wapo wangapi? Kuna anayetumia lugha chafu kama Mdude?Kiongozi anakosolewa kwa 'lugha' yoyote ile na mtu hatakiwi kushtakiwa kwa kuwa tu amemkosoa kiongozi, isipokuwa tu kama ukosoaji wake una madhara ya kiusalama wa Taifa. Watu wanaongea kwa tabia za makuzi yao namna walivyolelewa, mtu aliyekulia uswahilini huwezi tegemea akukosoe kama mtu aliyelelewa ushuani. Halafu hakunaga ukosoaji wa 'staha', unakosolewa kavukavu.
Yaani wewe unatakiwa ushughulikiwe once and for all.
Hata mimi nahisi,yaani serikali na dola yake yote eti ikae kumfikiria mdude ambaye hana hata silaha ya kienyeji[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ingia Google au kwy biblia ukamsome Yezebel. Tozo zituchanganye na wewe uchanganye watu na wakati biblia ipoUnaweza kuzitaja hizo tabia za Yezebeli ulizoziona kwake?...acheni kushabikia matusi, kuweni watu wazima.
Mtu huwajibika kwa anachokisema na sio kwa namna kinavyotafsiriwa na wapokeaji. Mdude hatuwezi kulazimisha afanane na wengine sababu kila mmoja ana namna alivyolelewa, usilazimishe aishi maisha ya wengine.Kumwita Rais "Yezebeli" we unaona ni sawa? Kwa mtazamo wako nchi hii wapinzani au wanachama wa upinzani wapo wangapi? Kuna anayetumia lugha chafu kama Mdude?
Mkuu yaishe, kama ulivyosema kila ana-behavior ya mazingira aliyokulia, naona yako yanafanana na MdudeMtu huwajibika kwa anachokisema na sio kwa namna kinavyotafsiriwa na wapokeaji. Mdude hatuwezi kulazimisha afanane na wengine sababu kila mmoja ana namna alivyolelewa, usilazimishe aishi maisha ya wengine.
Kumbe na kitabu anacho duhu, basi atukane ili tuendeleee kumsikiaHuyo mpuuzi,
Anatafuta Kiki ya kuuzia kitabu chake View attachment 2361360
Upo sawa mkuuMkuu yaishe, kama ulivyosema kila ana-behavior ya mazingira aliyokulia, naona yako yanafanana na Mdude
π€π»π€π»π€π»Upo sawa mkuu
Uwe na akili wewe usiyeelewa ni nani wa kuwajibika kwa nani! Matusi ni yapi hapo! Anayeandika ni mtu ambaye alitekwa na utawala wa huyu huyu na kuteswa kama mnyama na hakuna aliyechukuliwa hatua. Ana haki mwache awaite majina yote mabaya!Uwe na akili kwani huyo chizi anashindwa kujenga hoja bila kutukana, mbona mwenyekiti wake wa chama hatukani ukifuatilia vizuri post zake hata wanachama wenzake hawa_comment wala ku_like ni kama wamemtenga
Wewe mbwa kwani kuua ni ndiyo sifa na ufumbuzi! Una kichwa cha kuku wewe! Umesema kweli lakini "kutumia majambazi" kumbe ndiyo mbinu zinazotumika!Apa ndipo na semaga siasa ni mchezo mbaya huyu anacho kitafuta cha kwanza ni sifa
Cha pili uchonganishi kati ya serekali na raia wake
Mimi ua na jiuliza kama raisi ni tasisi kubwa ina shindwaje kuua nyani kama hawa ata kwa kutumia jambazi tu na mengine
Acheni sifa zitakuja kuwaponza one day na kama kweli jpm alikuwa ana waponda alikuwa sahii ni bora katika inchi tuwe na watu 10 wenye akili na uelewa kuliko kuwa na watu milioni na zaidi ambao hawana akili