Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Msemaji wa Simba ndo Simba! Chadema komaeni ili ifungiwe hata wiki 6.... Itakuwa fundisho Kwa wengi sana wanaochangsnya siasa na majukumu yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumwambia kichaa aache ukichaa wake hivi inawezekana kweli ??Well said Mkuu, huyo jamaa (Mdude) nae apunguze MAJAZBER, aache kukurupuka.
Ahmedy Ally ajatumwa na Simba aseme hayo aliyosema,ni vile Mdude hataki kuacha mibangi.
FIFA ilipiga marufuku siasa kwenye mpira baada ya kutokea migogoro na vita kati ya nchi na nchi.Mdude ashakuwa mwenda wazimu awahi mirembe!
Kwahi hiyo ndio nini sasa!FIFA ilipiga marufuku siasa kwenye mpira baada ya kutokea migogoro na vita kati ya nchi na nchi.
Wote mnaoshabikia hii mipira ya Yanga na Simba ni wendawazimu. Hizi timu zinatumiwa na magabachori kupumbaza watanzania ili wao na wanasiasa waendelee kupiga mali ya nchi.Afungiwe Ahmed Ally sio Simba. Mdude acha bangi. Mwamedi Ally acha wazimu
Wewe ndo mwendananihii mpira na siasa wapi na wapi? Tuache, ushabiki wa timu unachanganya watu wengi sana kama Misikiti na Makanisa. Kwahiyo naye Sheikh mkuu aseme pigia chama fulani? Au Kardinali? Acheni hizo. Kama CCM mmeona hamueleweki ndo muda umefika msiforce. Mmeforce kumpeleka Makonda Arusha eti aue Chadema, mmeforce kuweka nafasi isiyorasmi ya naibu waziri mkuu eti watu wa Kanda ya Ziwa wamuelewe, mmeforce kuiita awamu hii ni ya 6, mnaforce kugawa Pikipiki karibu kila mkoa mmeforce kubandika mabango kila mji na kila barabara kuu. Kaz mnayo mpaka 2025 mwezi wa kumi itajulikana tu. Afe kipa afe beki!!!! Mngekuwa mmelitendea taifa hili mazuri mabango ya nn na kazi zingekuwa zinajieleza. Mnaandika eti Mikopo Kwa wanafunzi wa Chuo kikuu imeongezeka mm mwananchi wa kawaida inanisaidia nn! Nitaenda vyuoni kuuliza pesa zilizopelekwa? Msitake tuongee . Acheni siasa na Michezo. Wananchi wa 2024 siyo sawa na 1947Mdude ashakuwa mwenda wazimu awahi mirembe!
Rejea kauli ya mwenyekiti vijana Ngara CCM mpaka leo kafanya nn?Chadema wanajifanya wajuaji sana malimbukeni na Matapeli mimi naomba waendelee na mtaji wao wa kuwahamasisha vijana twitter wakamatwe, wajiteke wenyewe kwa wenyewe ili wapate kuchangishana michango 😂😂😂 ndio wanachokijua kwa sasa
CHADEMA undeni timu yenu ya mpira ili muondokane na hizi kero.Nyie ni wale Maiti Jomo Kenyata alisema, mnatetea ujinga.
Huyu mtoto sifa zimemzidi anaacha weledi ktk kazi yake Simba wakapige chini.Ahmed Ally hapo kazingua sana.
Sasa ni Simba ama Ahmed ndio kajihusisha na siasa?!
Yeye ni muajiriwa tu, ana maisha binafsi.
Ingelikuwa Simba kwenye mechi wameingia na mabango kuhamasisha siasa hapo kuna mashiko.