Mdude: Lissu, Heche, Lema ni wapinzani wa kweli Tanzania. Nilipokuwa Polisi Oysterbay baada ya mateso makali nikasikia mahabusu wanaimba Lissu! Lissu!

Alipigwa mabilioni mengi tu. Na alipokubali kuwaingiza akina Mdee bungeni alipigwa bilioni 15. Halafu akawa anazingua kama hajui kitu.

Mzee Mbowe ni mjasiriaSiasa.
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Lissu for president
 
Naomba ushahidi wa hayo ulioandika
A.Bado unaamini kuwa :-
1. Mdee.
2. Mke wa naibu katibu mkuu Zanzibar (Salumu Mwalimu).
3. Mke wa naibu katibu mkuu bara (Benson Kigailla)
4. Mke wa meneja kampeni wa mgombea urais (Ally Bananga).

Waliingia bungeni bila ruhusa ya mwenye kikoba?? Taarifa alikuwa nazo na ndiye aliyewaruhusu.

B. Bado unaamini kuwa Wenje alienda kufanya udalali kwa Lisu bila Mbowe kujuwa na kupigwa mpunga kwanza??

Mbowe kwa tamaa ya fedha, Mungu anamuona. Kikoba amekitumia ipasavyo.
 
Wao wameamua kuingia bungeni ulitaka yey afanyeje? Kwann yeye alizuia watu kushtakiwa? Yeye ana nafasi kweny mahusiano ya hao wasaidizi wake na familia zao? Kila anachofanya Wenje lazima yy ajue na tuna uhakika aliendwa kuhongwa au alienda kusaidiwa na issue zake za matibabu ambapoo na yy Lissu tuna maswal ya kumuuliza sheria ndo zinataka mtu kulipwa kwa kupitia rais au mwanae?
 
Mzee wa saccos amestukiwa mwaka huu. Amewapaka matope ya usaliti watu wengi sana waliokuwa wakikitaka kiti cha uenyekiti.

Lkn mwaka huu, hapa kwa mpakwa mafuta Lisu , amekwama. Huyo mzee wa kikoba Sasa anaitwa tapeli, mwizi, mla rushwa na mfitini. Havhomoki!!

Kama anabisha, endeleeni kumjaza!
 
Lazima ukimbie kwenye maada sasa hayo mdo maswali yangu hapo juu? Ni kumchafua tu mtu bila sababu ambazo mnaweza kuziprove. Tulieni na tukutane kwenye box la kura.
 

Habari mbaya mno kwa chawa wa huyu ndugu:

 
Lazima ukimbie kwenye maada sasa hayo mdo maswali yangu hapo juu? Ni kumchafua tu mtu bila sababu ambazo mnaweza kuziprove. Tulieni na tukutane kwenye box la kura.
Opinion polls huwa zinatoa taswira ya kile kitakachotokea kwenye box. Opinion polls toka vyanzontofauti zinaonesha Mbowe hatakiwi siyo tu na umma, bali hata wanachama wenzake.

Bavicha Ilala, Bavicha Ubungo, Bavicha Iringa Mjini, na Kikao cha viongozi wa chadema mkoa wa Shinyanga, kote huko wametoa matamko ya kumpinga.

Wewe bado huoni tu kuwa hatakiwi??
 
Daah ndo maan nchi haiendelei. Yaan hio mikoa ya kichama mitatu na tena sio wote ni baadhi ya viongozi tu ndo useme opnions za wapiga kura wote?? Nakukumbusha tu wapiga kura sio nyinyi bali ni wajumbe wa mkutano mkuu na bahati mbaya viongozi wote wa kanda zote wapo na mahusiano mazuri na Mwenyekiti hivyo ana nafasi kubwa ya kua na opnion polls kubwa ingekua kura zinapigwa X au clubhouse basi nisingekubishia. Mwisho; usiwe mjinga lasivyo utakua mtaji wa wanasiasa miaka yote we hujiulizi kwann hizo tuhuma ziletwe kipind cha uchaguzi?
 
Sawa, upande wako umeeleweka.
 
Sawa mkuu
 
Nakubaliana na mdude
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ