Mdude Nyagali aangukia pua Mahakama Kuu, kesi yake yatupwa

Mdude Nyagali aangukia pua Mahakama Kuu, kesi yake yatupwa

Lakini mwisho wa haya yote ni kufukiwa chini, na hawa wenye Mamlaka huwa wanakufa vifo vya mateso na magonjwa yasiyotibika.

Kuwa na Mamlaka na vyeo isiwe sababu ya kumtesa binadamu mwenzako. binadamu tumezidiwa utashi hata na Wanyama wengine. Yote haya ni kwa sababu wenye Madaraka na Mamlaka wanataka watu wasifie au watende na kukubaliana nao kwa kila wanalofanya.

Naamini Mungu ndiye mwana demokrasia namba 1 duniani japo haonekani, kwanini sisi binadamu hatupendani ? Tunatumia mamlaka yetu vibaya kwa kuumizana sisi kwa sisi ?

Wamwachie locker up apelekww mahakamani na huko haki yake itapatikana.
 
Anatumia madawa au anawakosoa bila hofu viongozi majizi?
Wanaomfahamu wanasema anatumia madawa na wewe leta ufahamu wako kuhusu huyu mtumia madawa ya kulevya nyumbu Mdude!!
 
Kifo cha mateso kikoje mkuu? Vipi ulishakipitia? Tupe uzoefu?
 
Lakini mwisho wa haya yote ni kufukiwa chini, na hawa wenye Mamlaka huwa wanakufa vifo vya mateso na magonjwa yasiyotibika.

Kuwa na Mamlaka na vyeo isiwe sababu ya kumtesa binadamu mwenzako. binadamu tumezidiwa utashi hata na Wanyama wengine. Yote haya ni kwa sababu wenye Madaraka na Mamlaka wanataka watu wasifie au watende na kukubaliana nao kwa kila wanalofanya.

Naamini Mungu ndiye mwana demokrasia namba 1 duniani japo haonekani, kwanini sisi binadamu hatupendani ? Tunatumia mamlaka yetu vibaya kwa kuumizana sisi kwa sisi ?

Wamwachie locker up apelekww mahakamani na huko haki yake itapatikana.
Kifo cha mateso kikoje mkuu? Vipi ulishakipitia? Tupe uzoefu wako?
 
Wanaomfahamu wanasema anatumia madawa na wewe leta ufahamu wako kuhusu huyu mtumia madawa ya kulevya nyumbu Mdude!!
Hatujali anatumia nini, tunajali ukweli anaoongea.
 
Unategemea mtumia madawa awe na busara!!?
Hatutaki busara, tunataka ukweli tu. Hayo majizi ya kura yana busara, au unatishwa na hizo Suit wanazovaa kwa kodi za wananchi?
 
Back
Top Bottom