Mdude Nyagali anadai Dkt. Tulia anataka Kumuua

Mdude Nyagali anadai Dkt. Tulia anataka Kumuua

Kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa X, anadai Tulia anapanga mipango ya kumuua. Huyu Mdude anapenda ku trend kwa mambo ya kizushi.
---

Kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Mdude Nyagali anaandika haya:

Nimepata taarifa za siri kutoka kwa msamalia mwema kwamba Tulia amefadhili kikundi cha GreenGuard kutaka kuniua. Kwamba Green Guard hao wameanza kuuliza ninakoishi na nikakoshinda ili iwe rahisi kufanya unyama juu yangu. Na mimi nimeanza kupeleleza majina ya green Guard hao wote.

Pili ni kwamba Tulia anapaswa kujua kuwa Mdude analindwa na damu ya Yesu, Mungu Mwenyezi yupo pamoja na Mdude ndio maana kila hila zikipangwa juu ya Mdude zinakwama. Mwisho kabisa ni kwamba hizo levo za kuvamiwa na Green Guard + polisi zilishazivuka niko mbele sana.


Mdude ni MWONGO na anajuwa kuwa kaandika uwongo. Hiyo statement haimaninishi Spika wa Bunge ambaye ni mbunge wa Mbeya (M). Angeandika Tulia Ackson basi ndiyo angechukuliwa hatua. Huyo Tulia aliyemuandika yeye anaweza kuwa Tulia Mdude au Tulia Mbowe au Tulia Lissu.

Hata ukimpeleka mahakamani atakushinda maana utaulizwa wapi kasema Tulia Ackson.

Anyway muacheni huyu mwehu, ameathirika kimahabusu mahabusu
 
Kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa X, anadai Tulia anapanga mipango ya kumuua. Huyu Mdude anapenda ku trend kwa mambo ya kizushi.
---

Kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Mdude Nyagali anaandika haya:

Nimepata taarifa za siri kutoka kwa msamalia mwema kwamba Tulia amefadhili kikundi cha GreenGuard kutaka kuniua. Kwamba Green Guard hao wameanza kuuliza ninakoishi na nikakoshinda ili iwe rahisi kufanya unyama juu yangu. Na mimi nimeanza kupeleleza majina ya green Guard hao wote.

Pili ni kwamba Tulia anapaswa kujua kuwa Mdude analindwa na damu ya Yesu, Mungu Mwenyezi yupo pamoja na Mdude ndio maana kila hila zikipangwa juu ya Mdude zinakwama. Mwisho kabisa ni kwamba hizo levo za kuvamiwa na Green Guard + polisi zilishazivuka niko mbele sana.


Wewe huwaga unatatizo la kuwachukia watu tu kwani Mdude akitoa wasiwasi wake juu ta maisha yake ni kosa?

Kwani Tulia si ni binadamu tu wa kawaida?

Mbona alishiriki matukio ya imani za kishirikina kipindi cha uchaguzi hapa Mbeya hukusema chochote?
 
Hizi Taarifa za hivi huwa tuna zipuuzia alafu baadae tunaanza kujifanya Wana harakati na kiweka vi hashtag vya kinafki........

TAARIFA HII ISIPUUZWE ili Kama ni uongo mdude awajibishwe kwa kumchafua spika na Kama ni ukweli mbunge wangu awajibishwe...
Huwa nashangaa mnaposema mtu anachafuliwa, huku Yuko madarakani kwa wizi wa kura!
 
Hii ni hatari sana, inaweza kutumiwa na maadui wa Tulia kummaliza Mdude halafu zigo lote limwangukoe tulia[emoji23][emoji23][emoji23]

Naona muda si mrefu Mdude akishitakiwa
Kushitakiwa siyo issue zaidi ya yeye kutetea usalama wa maisha yake.
 
Wewe huwaga unatatizo la kuwachukia watu tu kwani Mdude akitoa wasiwasi wake juu ta maisha yake ni kosa?

Kwani Tulia si ni binadamu tu wa kawaida?

Mbona alishiriki matukio ya imani za kishirikina kipindi cha uchaguzi hapa Mbeya hukusema chochote?
Una uhakika sikusema chochote? Natafuta post yangu nutaku tag
 
Wewe huwaga unatatizo la kuwachukia watu tu kwani Mdude akitoa wasiwasi wake juu ta maisha yake ni kosa?

Kwani Tulia si ni binadamu tu wa kawaida?

Mbona alishiriki matukio ya imani za kishirikina kipindi cha uchaguzi hapa Mbeya hukusema chochote?
Nina full thread kulaani kitendo cha Tulia kutembea na jeneza, hii hapa:
 
Kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa X, anadai Tulia anapanga mipango ya kumuua. Huyu Mdude anapenda ku trend kwa mambo ya kizushi.
---

Kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Mdude Nyagali anaandika haya:

Nimepata taarifa za siri kutoka kwa msamalia mwema kwamba Tulia amefadhili kikundi cha GreenGuard kutaka kuniua. Kwamba Green Guard hao wameanza kuuliza ninakoishi na nikakoshinda ili iwe rahisi kufanya unyama juu yangu. Na mimi nimeanza kupeleleza majina ya green Guard hao wote.

Pili ni kwamba Tulia anapaswa kujua kuwa Mdude analindwa na damu ya Yesu, Mungu Mwenyezi yupo pamoja na Mdude ndio maana kila hila zikipangwa juu ya Mdude zinakwama. Mwisho kabisa ni kwamba hizo levo za kuvamiwa na Green Guard + polisi zilishazivuka niko mbele sana.


sio taksi force tena ni Tulia?😳

maana eti huwa anatumiwa vikosi vya taksi force kumkamata na kumtesa 🤣

Eti taksi force inajumuisha polisi, jwtz, magereza na watu wa usalama ndio huwa wanatumwa kumkamata 😜

saivi anatafutwa na Tulia tena, hivi siku 30 walizotoa kwa Serikali bado hazijaisha?
 
Back
Top Bottom