Mdude Nyagali anadai Dkt. Tulia anataka Kumuua

Mdude Nyagali anadai Dkt. Tulia anataka Kumuua

sitaki kumbeza na siamini kukubaliana nae, lolote linaweza kuwa kweli. muhimu hutakiwi kupuuza taarifa.
 
Siku 30 za karipio bado hazijafika? maana ile siku mate mapovu hadi macho vilimtoka [emoji2957]
 
Mdude aache kutuchafua Green Guards.

Jamaa ana cheap politics sana....

Juha

Knafahamika wazi green guard ni kikundi cha shetani. Kimefanya uharamia sana dhidi ya watu wasio na hatia.

Kundi hili, chini ya makonda, wakati wa awamu ya 5 ndilo hasa lilikuwa hao walioitwa, 'wasiojulikana'.
 
Yuko sahihi kutoa tahadhari juu ya maisha yake.Nyie ambao mnamuona ni mjinga nyie ndio wajinga kwasababu nyie sio vyombo vya dola vyakuleta majibu juu ya alichokihofia mdude.Vyombo husika vipo vitachukua hatua.Kila mtu ana haki juu yake mwenyewe.kwasababu kama kakosea sheria zipo zitafwata mkondo kama yuko sahihi pia itajulikana.
 
Imagine chadema wanatarajia wakishika nchi tuwe na viongozi type ya hili rubbish[emoji3525]! kazi ipo.
Haya ni mawazo yako yakijinga.ila pia inaonekana unapenda viongozi wanaofumbia ujinga ndani ya nchi.Inawezekana huyo unayemuona hafai akawa bora zaidi kuliko unaowaona wanafaa.
 
Kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa X, anadai Tulia anapanga mipango ya kumuua. Huyu Mdude anapenda ku trend kwa mambo ya kizushi.

---

Kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Mdude Nyagali anaandika haya:

"Nimepata taarifa za siri kutoka kwa msamalia mwema kwamba Tulia amefadhili kikundi cha GreenGuard kutaka kuniua. Kwamba Green Guard hao wameanza kuuliza ninakoishi na nikakoshinda ili iwe rahisi kufanya unyama juu yangu. Na mimi nimeanza kupeleleza majina ya green Guard hao wote.

Pili ni kwamba Tulia anapaswa kujua kuwa Mdude analindwa na damu ya Yesu, Mungu Mwenyezi yupo pamoja na Mdude ndio maana kila hila zikipangwa juu ya Mdude zinakwama. Mwisho kabisa ni kwamba hizo levo za kuvamiwa na Green Guard + polisi zilishazivuka niko mbele sana."


Bila shaka ni ndoto kama zile za Lema.Ni ajabu hata baada ya kutoka usingizini aliendelea kuota hadi akaweka ndoto kwenye maandishi.
 
Ukiamua kuwa mbishi kama huyo jamaa inabidi ufe kabla hujafa ili wakikuua uwe umeshakufa kabla ya kukuua.
Sasa ukiwa bado unapenda ugali alafu unakuwa mwanaharakati wa siasa chokozi kama jamaa unakuwa umejicontradict.

Watu kama hao huwa ni wepesi kununulika au kubadili msimamo.
 
Kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa X, anadai Tulia anapanga mipango ya kumuua. Huyu Mdude anapenda ku trend kwa mambo ya kizushi.

---

Kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Mdude Nyagali anaandika haya:

"Nimepata taarifa za siri kutoka kwa msamalia mwema kwamba Tulia amefadhili kikundi cha GreenGuard kutaka kuniua. Kwamba Green Guard hao wameanza kuuliza ninakoishi na nikakoshinda ili iwe rahisi kufanya unyama juu yangu. Na mimi nimeanza kupeleleza majina ya green Guard hao wote.

Pili ni kwamba Tulia anapaswa kujua kuwa Mdude analindwa na damu ya Yesu, Mungu Mwenyezi yupo pamoja na Mdude ndio maana kila hila zikipangwa juu ya Mdude zinakwama. Mwisho kabisa ni kwamba hizo levo za kuvamiwa na Green Guard + polisi zilishazivuka niko mbele sana."


 
Kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa X, anadai Tulia anapanga mipango ya kumuua. Huyu Mdude anapenda ku trend kwa mambo ya kizushi.

---

Kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Mdude Nyagali anaandika haya:

"Nimepata taarifa za siri kutoka kwa msamalia mwema kwamba Tulia amefadhili kikundi cha GreenGuard kutaka kuniua. Kwamba Green Guard hao wameanza kuuliza ninakoishi na nikakoshinda ili iwe rahisi kufanya unyama juu yangu. Na mimi nimeanza kupeleleza majina ya green Guard hao wote.

Pili ni kwamba Tulia anapaswa kujua kuwa Mdude analindwa na damu ya Yesu, Mungu Mwenyezi yupo pamoja na Mdude ndio maana kila hila zikipangwa juu ya Mdude zinakwama. Mwisho kabisa ni kwamba hizo levo za kuvamiwa na Green Guard + polisi zilishazivuka niko mbele sana."


huyo dogo wamemtengeneza wao wenyewe. wangempotezea tangu enzi za magu asingekuwa jeuri hivi. miaka karibu kumi kila mwaka anafunguliwa mashtaka na wanashindwa. kwa nini asiwe jeuri?
 
Yaani Mdude anajipa umuhimu asionao, ana nini hasa mpaka dk tulia awaze kuua hicho kidudu mtu?
Yaani yule ngedere aka tulia ndiyo unamlinganisha na jabali Mdude?
Ngedere aliyechukua bandari zetu kwa kupewa 2.5m USD ya kununua ndizi na mahindi agugumie?
Ngedere anayeharibu hadhi ya jumba la wawakilishi wa wananchi kugeuka klabu ya chimpumu!?
Huo udokta ni wa +++___pi tu! halafu hiyo sura ya ngedere anavalishwaga fulana wakati wa kamchezo tu!
 
Imagine chadema wanatarajia wakishika nchi tuwe na viongozi type ya hili rubbish[emoji3525]! kazi ipo.
Rubbish kwa kusema kuna watu wanataka kumuua,rubbish huku akiwa amepitia mateso ambayo hayaelezeki kutoka kwa vyombo vya dola,rubbish wakati amemuangusha RCO mahakamani?Comeon man!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Yaani yule ngedere aka tulia ndiyo unamlinganisha na jabali Mdude?
Ngedere aliyechukua bandari zetu kwa kupewa 2.5m USD ya kununua ndizi na mahindi agugumie?
Ngedere anayeharibu hadhi ya jumba la wawakilishi wa wananchi kugeuka klabu ya chimpumu!?
Huo udokta ni wa +++___pi tu! halafu hiyo sura ya ngedere anavalishwaga fulana wakati wa kamchezo tu!
Ba-vichaaa mnachekesha kweli, asa huyo fundi simu mdudu ndo wakumlinganisha na kiongozi mkubwa wa mhimili wa Bunge? So 2025 sugu mnamtema jimbo la mbeya mjini then mdudu ndo atapeperusha bendera ya chadema?
 
Back
Top Bottom