Mdude Nyagali atunga kitabu kuhusu Mateso na unyama aliofanyiwa kwenye Utawala wa Awamu ya 5, kuzinduliwa Machi 5, 2022

Kuandika kitabu ni kitu kimoja na kuuza ni kitu kingine .
 
Kifupi kuepuka chochote kibaya tii sheria bila shuruti.Usipotii bila shuruti utaandika vitabu hadi ukome

Ndio summary yangu kwenye kitabu chake.
 
Mungu ibariki CHADEMA
 
ungemuacha aliyekuwa anajibu kama hana akili aendelee sasa na wewe umejiingiza kwenye suala lisilokuhusu unawashwa eee??
Umezoea kuwashwa wewe siyo bure
 
Ukitii sheria bila shruti hayatakukuta ya Mdude


Chadema inasema ina wanachama mamilioni 12 mbona wako peace wanaendelea na.maisha yao bila shida hayawakuti ya Mdude?
Mwambieni mdude atii sheria bila shruti ili asiandike kitabu kingine part two
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…