Mdude Nyagali atunga kitabu kuhusu Mateso na unyama aliofanyiwa kwenye Utawala wa Awamu ya 5, kuzinduliwa Machi 5, 2022

Mdude Nyagali atunga kitabu kuhusu Mateso na unyama aliofanyiwa kwenye Utawala wa Awamu ya 5, kuzinduliwa Machi 5, 2022

copy 1 tafadhaliii ....
(mewaza yaliyoko ndani nkakumbuka kitabu kilichokuwa na kichwa cha habari "RAISI ANAMPENDA MKE WANGU"
 
Matusi hayatakuongezea posho hapo lumumba , jikite kwenye hoja .
ungemuacha aliyekuwa anajibu kama hana akili aendelee sasa na wewe umejiingiza kwenye suala lisilokuhusu unawashwa eee??
 
umeishia darasa la ngapi ?
Tunga kitabu ni tofauti na kuandika kitabu, Benjamin Mkapa na Regnald Mengi waliandika vitabu, Nicco ye Mbajo, Hammie Rajabu walitunga hadithi wakaandika vitabu
 
Kama ungependa kufahamu namna awamu ya 5 ilivyosigina HAKI ZA BINADAMU nchini Tanzania, basi hutakiwi kukosa nakala ya kitabu kilichotungwa na Mhanga namba 5 wa Utawala ule aitwaye Mdude Nyagali, ndani ya kitabu hicho mmefunuliwa kila unyama na uchafu wote uliofanywa katika kusigina katiba ya Tanzania bila kujali lolote, baadhi ya wahusika wa unyama huo wameanikwa hadharani kwa majina yao matatu matatu.

Uzinduzi wa kitabu hicho ambacho inasemekana kinagombewa mithili ya Sukari enzi za RTC, utafanyika tarehe 5 ya mwezi wa tatu mwaka 2022, uzinduzi huo utafanyika dunia nzima , kwa njia ya kisasa ONLINE.

View attachment 2135154
Ana saa kali sana
 
Hata mimi nasubiri hicho kitabu,kuna audio yake nilisikiliza jamaa anakwambia alikuwa anapigwa huku wimbo wa dini umekwa sauti ya juu,halafu chumba cha pili kuna mwanamke analia kwa kipigo cha maumivu akiomba wasimuue aisee..

Jamaa anasema ile sauti mpaka leo inamtesa sababu hakujua huyo mwanamke ni nani na alikuwa na kosa gani,na je aliuawa au alipona..

Mwendazake popote ulipo hukufaa kuwa binadamu bali wakala wa shetani..
Huyo mwanamke inaonekana Jiwe alimuomba akapigwa chini
 
Kama ungependa kufahamu namna awamu ya 5 ilivyosigina HAKI ZA BINADAMU nchini Tanzania, basi hutakiwi kukosa nakala ya kitabu kilichotungwa na Mhanga namba 5 wa Utawala ule aitwaye Mdude Nyagali, ndani ya kitabu hicho mmefunuliwa kila unyama na uchafu wote uliofanywa katika kusigina katiba ya Tanzania bila kujali lolote, baadhi ya wahusika wa unyama huo wameanikwa hadharani kwa majina yao matatu matatu.

Uzinduzi wa kitabu hicho ambacho inasemekana kinagombewa mithili ya Sukari enzi za RTC, utafanyika tarehe 5 ya mwezi wa tatu mwaka 2022, uzinduzi huo utafanyika dunia nzima , kwa njia ya kisasa ONLINE.

View attachment 2135154

Wapi kitauzwa ili tuchangamkie kitabu hiki cha kihistoria.
 
Hata mimi nasubiri hicho kitabu,kuna audio yake nilisikiliza jamaa anakwambia alikuwa anapigwa huku wimbo wa dini umekwa sauti ya juu,halafu chumba cha pili kuna mwanamke analia kwa kipigo cha maumivu akiomba wasimuue aisee..

Katika jengo la kitengo sehemu za Upanga jijini Dar es Salaam ambapo Mdude akichungulia dirishani anaona bendera ya ubalozi wa DR Congo nchini Tanzania uliopo kitongoji cha Upanga jijini Dar es Salaam - Mdude anaelezea ktk audio clip yake iliyopo YouTube.
 
Kichaa wa uvccm
Kalia kwanza usikisikilizie hapo.

IMG_20220219_073845.jpg
 
Back
Top Bottom