Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kilicho kukimbiza kutoka Mombasa ni kutatuliwa marindawatu dizaini ya mdude na mbowe hawana marinda na wewe pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilicho kukimbiza kutoka Mombasa ni kutatuliwa marindawatu dizaini ya mdude na mbowe hawana marinda na wewe pia
Haha haha msalimie billionaire Bill LuganoLabda ni kiswahili tu , sikukizingatia sana kwa sababu ya kuishi Ulaya muda mrefu , nisamehe mkuu
[emoji38][emoji38][emoji38]Haha haha msalimie billionaire Bill Lugano
Matusi hayatakuongezea posho hapo lumumba , jikite kwenye hoja .nawewe utakuwa unaliwa pia kama mdude na mbowe sasahivi kule gerezani
ungemuacha aliyekuwa anajibu kama hana akili aendelee sasa na wewe umejiingiza kwenye suala lisilokuhusu unawashwa eee??Matusi hayatakuongezea posho hapo lumumba , jikite kwenye hoja .
Peleka mwanao pia akapikwe akomae zaidi!Jamaa tangu ametoka gerezani anaonekana stronger zaidi, gereza lilimkomaza.
Tunga kitabu ni tofauti na kuandika kitabu, Benjamin Mkapa na Regnald Mengi waliandika vitabu, Nicco ye Mbajo, Hammie Rajabu walitunga hadithi wakaandika vitabuumeishia darasa la ngapi ?
Ana saa kali sanaKama ungependa kufahamu namna awamu ya 5 ilivyosigina HAKI ZA BINADAMU nchini Tanzania, basi hutakiwi kukosa nakala ya kitabu kilichotungwa na Mhanga namba 5 wa Utawala ule aitwaye Mdude Nyagali, ndani ya kitabu hicho mmefunuliwa kila unyama na uchafu wote uliofanywa katika kusigina katiba ya Tanzania bila kujali lolote, baadhi ya wahusika wa unyama huo wameanikwa hadharani kwa majina yao matatu matatu.
Uzinduzi wa kitabu hicho ambacho inasemekana kinagombewa mithili ya Sukari enzi za RTC, utafanyika tarehe 5 ya mwezi wa tatu mwaka 2022, uzinduzi huo utafanyika dunia nzima , kwa njia ya kisasa ONLINE.
View attachment 2135154
Huyo mwanamke inaonekana Jiwe alimuomba akapigwa chiniHata mimi nasubiri hicho kitabu,kuna audio yake nilisikiliza jamaa anakwambia alikuwa anapigwa huku wimbo wa dini umekwa sauti ya juu,halafu chumba cha pili kuna mwanamke analia kwa kipigo cha maumivu akiomba wasimuue aisee..
Jamaa anasema ile sauti mpaka leo inamtesa sababu hakujua huyo mwanamke ni nani na alikuwa na kosa gani,na je aliuawa au alipona..
Mwendazake popote ulipo hukufaa kuwa binadamu bali wakala wa shetani..
Asante mkuu nisaidie kumwelewesha na mwenye post # 6, 👇Kabisa katunga story
umeishia darasa la ngapi ?
ndo maana ccm hawataki kumuachia MBOWE wanajua akitoka mziki wake siyo wa nchii wote watapotezwa kisiasaJamaa tangu ametoka gerezani anaonekana stronger zaidi, gereza lilimkomaza.
Sawa mmawiaHujalazimishwa kukisoma
Kama ungependa kufahamu namna awamu ya 5 ilivyosigina HAKI ZA BINADAMU nchini Tanzania, basi hutakiwi kukosa nakala ya kitabu kilichotungwa na Mhanga namba 5 wa Utawala ule aitwaye Mdude Nyagali, ndani ya kitabu hicho mmefunuliwa kila unyama na uchafu wote uliofanywa katika kusigina katiba ya Tanzania bila kujali lolote, baadhi ya wahusika wa unyama huo wameanikwa hadharani kwa majina yao matatu matatu.
Uzinduzi wa kitabu hicho ambacho inasemekana kinagombewa mithili ya Sukari enzi za RTC, utafanyika tarehe 5 ya mwezi wa tatu mwaka 2022, uzinduzi huo utafanyika dunia nzima , kwa njia ya kisasa ONLINE.
View attachment 2135154
Hata mimi nasubiri hicho kitabu,kuna audio yake nilisikiliza jamaa anakwambia alikuwa anapigwa huku wimbo wa dini umekwa sauti ya juu,halafu chumba cha pili kuna mwanamke analia kwa kipigo cha maumivu akiomba wasimuue aisee..
[emoji3][emoji3][emoji3],yule hakuwa mtuHuyo mwanamke inaonekana Jiwe alimuomba akapigwa chini
Kichaa wa uvccmWewe Mwakifyale, Join the chain.
Tuma pesa mamangi wale bata.
View attachment 2135208
View attachment 2135210
Uvccm ndiyo kazi yenu inayo waweka mijini.