Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
- Thread starter
-
- #61
Mkuu hatuwezi kugawana mbao ili jahazi lizame. Vitendo viovu kama hivi tutavikemea kwa uwazi bila kusita, kila binadamu anastahili heshima.Thread ya kipumbavu kabisa! Nothing more nothing less!
Umenena vyema Mkuu 👏👏👏👏👏👏👏👏Kwani Mdude na Rais Samia hawaelewani? maana sijaelewa sababu ya kutumika kauli kama ile ya "huyo mama yenu..." katika hali ya kawaida kwa mtu ambaye huna tatizo nae.
Rais ni wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni kiongozi wetu sote haijalishi anatokea Chama gani. Binadamu wote ni sawa, hakuna asiye na doa lakini staha inahitajika.Kashauriane kwanza na wanaccm huru kwanza ndo uje tutakusikiliza
Sawa nakumbuka kuna mtu alisema "kalale na mavi yako", bila shaka huyu ni domokaya!Ni kweli suala la heshima sio tu kwa Rais bali na wanajamii kwa sababu ada ya mja hunena muungwana ni kitendo. Mtu mwema katika jamii tunamtambua kwa matendo yake lakini domokaya kwa maneno matupu yenye kejeli.
ndo siasa kwani wongo na nyie mujibu kwamba siyo magu wa kikeChadema hawabebeki ,ukiwabeba watakunyea kweupe.usisahau ya lisu kwamba mama ni magu wa kike.
Alete hoja ili ajibiwe kwa hoja iliyokuwa bora zaidi.ndo siasa kwani wongo na nyie mujibu kwamba siyo magu wa kike
Point gani ambayo unataka mimi nio stick tu? Nyiee endeleeni kumtumiaStick to the point and quit being a moron! Mtu akimtukana mwizi ni kosa kwasababu tu mwizi hajafikishwa mahakamani?
On the other hand, hakuna kosa lolote alilofanya mdude kwenye kauli zake.
Two wrongs don't make it right, sababu huyu alifanya vile haikupi sababu ya wewe kufanya piaMagufuli alivyokuwa anatukana watanzania kuwa wabaki na mavi yao nyumbani yalikuwa ni maneno yenye staha?Kheri James alivyokuwa anatukana watu hovyohovyo yalikuwa ni maneno yenye staha?Uliwahi kukemea mambo haya?
View attachment 1841099
Ni mabaya mnoo, ila haimpi haki mtu kutukana wengineNini maoni yako juu ya haya maneno kutoka kwa mkuu wa wilaya. View attachment 1841105
watasema nn wakati ndio hao hao,Well said Brother...cha kushangaza hata viongozi wake wamekaa kimya kabisa...Pumbavu kabisa huyu kijana...ashukuru Mungu tu alimchukua Magu hata kama alikuw hana makosa ..kwa kauli hizi za kipumbavu angeendela kukaa huko jela..na ashukuru Mungu uongozi wa Samia umeingia na leo yeye yuko nje kwa juhudi za Rais Samia afu anakuja kutoa kauli ambazo hazina adabu...hapo hata Rais sijui anajisikiaje.Siasa za kipumbav kama hizi ndio huwa zinawafanya watu wawe na second thoughts abt Chadema...so immature..
Inabidi afunzwe, ile kauli ya ujana maji ya moto inamfaa.hana heshima na wazee wake
Kabisa, suala hilo halihalalishi kwa namna hiyo.Ni mabaya mnoo, ila haimpi haki mtu kutukana wengine
Kuna muda unajiuliza hivi hawa wanafundishana nini kwenye vikao vya ndani na huwa wanazungumza kwa lugha gani.watasema nn wakati ndio hao hao,
wote pamoja na viongozi wao hawana nidhamu hata chembe, hawafai hata kuwaita kwenye meza ya majadiliano.
ndio maana Hayati JPM aliwapuuza kabisa.
kwa mwendo wao huo ulio kosa heshima kwa mamlka hawafai hata kukaribishwa ikulu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna makosa ya kisheria kwenye ukosoaji wake. Ndiyo maana ikabidi abambikiwe kesi ya madawa ya kulevya. Hata sasahivi kama ana kosa la kisheria, si mumpeleke mahakamani?Point gani ambayo unataka mimi nio stick tu? Nyiee endeleeni kumtumia
YAANI NYIE NYAU WA CHADEMA NDIYO MTUSUMBUE ? KIMA NYIEKabla ya kuandika bandiko hili la kumshutumu huyo Mdude ulishawahi kuwaandikia viongozi was ccm waliowahi kutoa kauli zisizo na staha?
Rejea kauli za Heri James kule Arusha na kwingineko juu ya kumchoma Lissu sindano ya sumu!
Pia rejea kauli ya mh. juu ya askari was ccm kukosa shabaha! Na kauli nyingine nyingi zisizo na staha kutoka Kwa ccm. Hizo kwako zilikuwa kauli njema siyo?
Mdude hajamtaja mtu Kwa jina, ni kitu Gani kikuwashe kumhukumu Kwa utovu was nidhamu?
Neno wembe lipo kwenye nyimbo ya hamasa ya ccm iliyotungwa na tot na huimbwa na wanaccm mara nyingi. Kwanini Mdude akiutaja wembe ninyi ccm mnahamaki na kuona ukosefu was adabu?
Najua ccm mna mbinu chafu za kuchepusha dai la katiba mpya Kwa kujificha nyuma ya Mdude, hamtafanikiwa kuuzima moto wa katiba mpya kirahisi hivi. Jipangeni kwani wanakuja kina Mdude wengi mno!
Logic yangu ni kwamba kabla hujaangalia mauchafu ya watu wengine angalia kwanza mauchafu yako, ukiri kwa uma kuwa una mauchafu mengi,ujisahihishe, kisha uombe msamaha kwa uma kuwa wewe ni mchafu sana na umedhamiria kuacha mauchafu yako na hutorudia tena.Two wrongs don't make it right, sababu huyu alifanya vile haikupi sababu ya wewe kufanya pia
Hapo umetumia kiwango chote Cha staha ulichokuwa nacho au Kuna ulichobakiza? Siku ya bwana itafika TU na katiba mpya itakuwa lazima utake ama usitake haitusumbui!YAANI NYIE NYAU WA CHADEMA NDIYO MTUSUMBUE ? KIMA NYIE
Huo wembe mmeutaja mara ngapi huko ccm? Mbona ninyi hamkuona Kama siyo staha kuutumia usemi huo?huwa nasema chadema wengi wao ni mapimbi.Huwezi kumsema vibaya rais kwa staili hii.
unaposema wembe uliyotumia kwa mtu ambaye na marehemu tukisema wewe ndiye uliyemuua tutakuwa tumekosea?
Huyo mama Yenu::: kwa lugha nyengine wewe siyo mama yako,hivyo wewe ni mtoto haramu
utamnyoa ::unaweza kumnyoa mama yako ??
by the way ,huyu jamaa ni kabila gani?