Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanaCCM wote ni mafisadi. Na wewe umo.
Mungu atamlindaMdude naye apunguze ukali wa maneno watamuua kwa sumu siku wakimkamata
Kuua mtu ni upumbafu uliopitilizaMdude naye apunguze ukali wa maneno watamuua kwa sumu siku wakimkamata
Unadhani wanaouawa hawana MUNGU?Mungu atamlinda
Kwani hawauliwi sasa?Kuua mtu ni upumbafu uliopitiliza
Acha maswali ya kipuuziUnadhani wanaouawa hawana MUNGU?
Sasa komaa utakiona cha motoAcha maswali ya kipuuzi
Waambie ukweli Kada mwenye hofu ya Mungu. Hakika Mungu hataachia bure unyanyasaji huo kwa Jamii isiyo na mawaa na wasio na madhara kwa wanyama.Ukweli usemwee
Ccm Chama changu hapa mmekosea sanaaa
Wamasai wamelinda Ngorongoro toka enzi na enzii.
Leo mnawaondoa and additionally mnasema ni ihari kuhama kwanini sasa
Waliobaki muwanyime huduma za kijamiii.
Tatu hata Zanzibar kuna utaliii kwanini hamuanzi kuwahamisha wanzazibari ili kuboresha huo utaliii.
What I notice ni njaaa tuuu zinawasumbua baadhi yetuu
Na Mama Samia hapo kama umeshauriwa vizri umeingizwa mkenge na hiyo laana itakutakusumbua hadi maisha yako yotee.
Also chaajabu hakuna hata media hata moja inariport jambo hilo
This is shame wato wako huko sijui Kizimkazii kwa mambo ya ovyoo.
Najua mkuuWaambie ukweli Kada mwenye hofu ya Mungu. Hakika Mungu hataachia bure unyanyasaji huo kwa Jamii isiyo na mawaa na wasio na madhara kwa wanyama.
Najua mkuu
Wakinijua tuu nimekwishaaa
Mkuu sema chama changu hichi ni cha kinyanyasajii
Huyu msigwa aliyekuja atabwekaaa weeee
Lkn CCM kina wenyewe
Je ushawai kusikia Mwana Ccm Aliyehama
Akaropokaaa
Msigwa hili likufikieee
Kuwa gentleman
Mdude Nyagali hana njaa ya cheo.Anabweka ili apewe cheo wakati CCM wazawa wapo na wanaachwa bila vyeo.
Ila mazaa ni mbaya kwenye pesa, mtoto wake Abdul na rostam aziz kiboko, wanatumalizaaaa masai
Mungu ni muweza.Sasa komaa utakiona cha moto