Mdude Nyagali: Wamasai wanafukuzwa Ngorongoro baada ya ‘Vasco Da Gama’ kuwauzia Wajomba zake waarabu eneo lao

Mdude Nyagali: Wamasai wanafukuzwa Ngorongoro baada ya ‘Vasco Da Gama’ kuwauzia Wajomba zake waarabu eneo lao

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
1000031744.jpg
 
Ukweli usemwee
Ccm Chama changu hapa mmekosea sanaaa

Wamasai wamelinda Ngorongoro toka enzi na enzii.

Leo mnawaondoa and additionally mnasema ni ihari kuhama kwanini sasa

Waliobaki muwanyime huduma za kijamiii.

Tatu hata Zanzibar kuna utaliii kwanini hamuanzi kuwahamisha wanzazibari ili kuboresha huo utaliii.

What I notice ni njaaa tuuu zinawasumbua baadhi yetuu

Na Mama Samia hapo kama umeshauriwa vizri umeingizwa mkenge na hiyo laana itakutakusumbua hadi maisha yako yotee.

Also chaajabu hakuna hata media hata moja inariport jambo hilo

This is shame wato wako huko sijui Kizimkazii kwa mambo ya ovyoo.
 
Ukweli usemwee
Ccm Chama changu hapa mmekosea sanaaa

Wamasai wamelinda Ngorongoro toka enzi na enzii.

Leo mnawaondoa and additionally mnasema ni ihari kuhama kwanini sasa

Waliobaki muwanyime huduma za kijamiii.

Tatu hata Zanzibar kuna utaliii kwanini hamuanzi kuwahamisha wanzazibari ili kuboresha huo utaliii.

What I notice ni njaaa tuuu zinawasumbua baadhi yetuu

Na Mama Samia hapo kama umeshauriwa vizri umeingizwa mkenge na hiyo laana itakutakusumbua hadi maisha yako yotee.

Also chaajabu hakuna hata media hata moja inariport jambo hilo

This is shame wato wako huko sijui Kizimkazii kwa mambo ya ovyoo.
Waambie ukweli Kada mwenye hofu ya Mungu. Hakika Mungu hataachia bure unyanyasaji huo kwa Jamii isiyo na mawaa na wasio na madhara kwa wanyama.
 
Waambie ukweli Kada mwenye hofu ya Mungu. Hakika Mungu hataachia bure unyanyasaji huo kwa Jamii isiyo na mawaa na wasio na madhara kwa wanyama.
Najua mkuu

Wakinijua tuu nimekwishaaa

Mkuu sema chama changu hichi ni cha kinyanyasajii

Huyu msigwa aliyekuja atabwekaaa weeee

Lkn CCM kina wenyewe

Je ushawai kusikia Mwana Ccm Aliyehama

Akaropokaaa

Msigwa hili likufikieee

Kuwa gentleman
 
Anabweka ili apewe cheo wakati CCM wazawa wapo na wanaachwa bila vyeo.
Najua mkuu

Wakinijua tuu nimekwishaaa

Mkuu sema chama changu hichi ni cha kinyanyasajii

Huyu msigwa aliyekuja atabwekaaa weeee

Lkn CCM kina wenyewe

Je ushawai kusikia Mwana Ccm Aliyehama

Akaropokaaa

Msigwa hili likufikieee

Kuwa gentleman
 
Back
Top Bottom