zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Wabongo hawataki ilo wao mradi upinzani umesema bhc kila kitu wanachukua kama kilivoHujui kitu Mdude_Nyagali ila ni kawaida ya CHADEMA kurukia matukio kwq kuwa hamna Agenda yenu mnayotetea kama chama.
Pata ushauri hapa wa Fatma Karume, mwanasheria mbobezi
View attachment 3073724
Inaumiza mnoo pale ukiwaelewesha wanakuona chawa wtf?