Mdude Nyagali: Wamasai wanafukuzwa Ngorongoro baada ya ‘Vasco Da Gama’ kuwauzia Wajomba zake waarabu eneo lao

Hujui kitu Mdude_Nyagali ila ni kawaida ya CHADEMA kurukia matukio kwq kuwa hamna Agenda yenu mnayotetea kama chama.

Pata ushauri hapa wa Fatma Karume, mwanasheria mbobezi
View attachment 3073724
Wabongo hawataki ilo wao mradi upinzani umesema bhc kila kitu wanachukua kama kilivo
Inaumiza mnoo pale ukiwaelewesha wanakuona chawa wtf?
 
Wabongo hawataki ilo wao mradi upinzani umesema bhc kila kitu wanachukua kama kilivo
Inaumiza mnoo pale ukiwaelewesha wanakuona chawa wtf?
Ni kweli wameacha kuwa chama cha siasa na wamekuwa wanaharakati
 
Hivi huu ushetani hadi lini?
Watanzania tuamke na tuache tofauti za ki-chama tutetee wenzetu kwani kesho ni sisi tutauzwa
 
Watu wanataka wenzao waendelee kuishi na simba porini akati wao hata mmbwa akibweka wanakimbia.. Huezi eka shule ndani ya hifadhi hao watoto usalama wao utakuaje?
Ila watu wanajidai wanasiasa wote
 
Miaka ya nyuma ikiwezekana, tena kipindi kukiwa hakuna miundombinu ya uhakika, leo ndiyo ije ishindikane pamoja na maendeleo makubwa ya kiteknolojia yalifyofikiwa?
 
Watu wanataka wenzao waendelee kuishi na simba porini akati wao hata mmbwa akibweka wanakimbia.. Huezi eka shule ndani ya hifadhi hao watoto usalama wao utakuaje?
Ila watu wanajidai wanasiasa wote
Shule ipo, Zahanati ipo. Na vyote vyote vimekuwepo Ngorongoro hata kabla hujazaliwa.
 
Miaka ya nyuma ikiwezekana, tena kipindi kukiwa hakuna miundombinu ya uhakika, leo ndiyo ije ishindikane pamoja na maendeleo makubwa ya kiteknolojia yalifyofikiwa?
Teknolojia ipi waweza kujenga shule na watoto wakasoma bila hatari ya kushambuliwa na wanyama wakali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…