Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Lakini angalau mambo haya yanaweza kusaidia kuwaamsha makondoo ya Tanzania.Mkuu
TLS ilianza kubanwa kwa kuundiwa kamati ya maadili ya mawakili ambayo ina nguvu kuliko TLS yenyewe.
Mwenyekiti wa kamati hiyo ni DPP
Unategemea watasema nini zaidi ya kuanza kupambania members wake mahakamani?
Safi kabisa. Ngoja wahangaike nayo hayo tupumzike matusi yao. Nchi inakuwa kama haina watu wenye busara. Kila siku mitusi ya Mdude tu.
DPP aikatae Hati ya Mashtaka Kwani imeandaliwa na nani?DPP anayo nafasi ya kujiepusha na kikombe hiki kwa kuikataa hii hati ya mashitaka.
Ila kama ni network moja na mfumo mmoja, namuonea huruma Mama Samia anaingizwa chaka na anayengewa chini hadi kwa tuliomuunga mkono.
Hata ile tume ya haki jinai haijamaliza kazi Polisi wanaleta huu upumbavu, mama asikubali kuingiziwa huu mkenge na Polisi waliokosa elimu.
Wasengerema kama wewe ndio mkosi kwa Taifa.Huenda sasa tutajua lugha za kuzungumza hadharani.
Polisi.DPP aikatae Hati ya Mashtaka Kwani imeandaliwa na nani?
Hata Makaburu walikuwa kama nyie.Safi sana wakome kuchezea dola
Polisi hawaandai Hati za MashtakaPolisi.
Wajinga kama wewe hawakosekani kwenye jamii yoyote.Safi sana wakome kuchezea dola
Hata hizo nchi zinazisifiwa na kuwa na katiba nzuri, hazichzewi kama akina Mdude wanavyoichezea Tanzania chini ya Samia. Waache wakumbushwe tu kuwa Serikali iko machoDPP anayo nafasi ya kujiepusha na kikombe hiki kwa kuikataa hii hati ya mashitaka.
Ila kama ni network moja na mfumo mmoja, namuonea huruma Mama Samia anaingizwa chaka na anayengewa chini hadi kwa tuliomuunga mkono.
Hata ile tume ya haki jinai haijamaliza kazi Polisi wanaleta huu upumbavu, mama asikubali kuingiziwa huu mkenge na Polisi waliokosa elimu.
DPP ndiye kawatuma waunde mashitaka hayo.DPP anayo nafasi ya kujiepusha na kikombe hiki kwa kuikataa hii hati ya mashitaka.
Ila kama ni network moja na mfumo mmoja, namuonea huruma Mama Samia anaingizwa chaka na anayengewa chini hadi kwa tuliomuunga mkono.
Hata ile tume ya haki jinai haijamaliza kazi Polisi wanaleta huu upumbavu, mama asikubali kuingiziwa huu mkenge na Polisi waliokosa elimu.
Kwahiyo ukipelekwa Polisi, mpelelezi akishakuhoji tuhuma zako anaandika nani?Polisi hawaandai Hati za Mashtaka
Wacha ibumbe tu lakini nchi iwe na ibaki na heshimakuwaundia watu kesi za kubumba?
Kweli kabisa tusali sanaTulioshuhudia ya 1980s tunakimbilia Mlimani magotini pake Mungu wa mbinguni!