Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi!chama gani kimetoa vi-carry na mikono?
So hamna chama kimetoa right?Wananchi!
Chadema inunue kifaa kwa kutumia bajeti gani wakati bunge limeidhinisha bajeti ya maafa? Huko ccm wengi hamna akili pumbavu zenuMilion 10 hata chadema wana uwezo wa kununua tu sio uongo tu bali ni bangi!
Nime hariri,kaangalie vizuri.Mdude amevuta bangi mbichi!
Mwenyewe unaona umetoa point ndio maana hivi vyuo vya sasa wahitimu wengi hawana ajira kwa kukosa maarifa!Chadema inunue kifaa kwa kutumia bajeti gani wakati bunge limeidhinisha bajeti ya maafa? Huko ccm wengi hamna akili pumbavu zenu
Kawaaibisha wenye vipara wa siku hizi waonekane utopolo,zamani vipara vilikuwa na heshima yake ilikuwa ukimuona mtu mwenye upara unaassume either atakuwa Doctor,Professor,Great thinker,Intelectualu
Unawaangusha wenye vipara
Nahusika na nini mjadala tumefunga!Nime hariri,kaangalie vizuri.
Mdude amevuta bangi mjadala tumefunga!So hamna chama kimetoa right?
Yes mdude ana kuruouka lakini Huna point , huna logic, punguza kutumia jazbaMdude amevuta bangi mjadala tumefunga!
Kwahiyo tigo unauza bei gani?Mdude akishavuta skanka yeye anajiandikia tu!
Fafanua hiyo biashara ueleweke zitu!Kwahiyo tigo unauza bei gani?
Hujajibu swali.Mwenyewe unaona umetoa point ndio maana hivi vyuo vya sasa wahitimu wengi hawana ajira kwa kukosa maarifa!
Amesema uongo?Mdude akishavuta skanka yeye anajiandikia tu!