Mdude: Tutafanyia kongamano kituo cha polisi

Mdude: Tutafanyia kongamano kituo cha polisi

Ma CCM hutumia maelezo hata ya kijinga kutusambaratisha. Usishangae kuyakuta yakitega kunguru hata kwa maharage makavu.
[emoji1787][emoji1787]
Kule mzimuni kwetu...

Ule mzimu wa bagamoyo.....palipowekwa nadhiri kuwa CCM itakuwepo sanaaa....

Huwa tunawatega kunguru na yale maharage ya KOMBATI.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Haya basi....kibali cha mkutano hapo mbele ya Polisi Post
emoji1787.png
emoji1787.png
Hela za Diaspora zimepata walaji ni kwanini wasifanye mkutano wa hadhara ambao hauhitaji kukodi kumbi za starehe.
 
Wakikabiliwa na mashinikizo yenye kufanana kutokea kwa walamba asali na vibaraka zao, lile kongamano la kina Mwabukusi linazidi kutumbukiziwa nyongo.

View attachment 2771375

Hakuna ukumbi unaopatikana kufanyia shghuli hii. Kwamba heri kwenda kufanyia kongamano hili polisi kwa sababu vyama vya upinzani vimewakomalia?

Kwamba kwa vile ruzuku au ubunge si vipaumbele vyetu pana baina yetu tumeapa kupambana na kina Slaa, Mwabukusi, Mdude na wenzao hadi wa wakwame tu?

Beberu anao ujumbe murua kwenu:

"Shame on you!"
Hivi haya mapunbavu Mwakabusi na Slaa wanaendeshwa na hili pumbavu la mapunbavu kwa jina Mdude_Nyagali ? Shame on watu wazima kuendeshwa na kijana mropokaji matusi.

Waambieni kuwa Watanzania hatutaki ujinga wenu. Kama hamna la kufanya sisi tuko busy tunachungulia fursa
 
Hivi haya mapunbavu Mwakabusi na Slaa wanaendeshwa na hili pumbavu la mapunbavu kwa jina Mdude_Nyagali ? Shame on watu wazima kuendeshwa na kijana mropokaji matusi.

Waambieni kuwa Watanzania hatutaki ujinga wenu. Kama hamna la kufanya sisi tuko busy tunachungulia fursa
Mwambukusi na Dr.Slaa wanashangaza sana.....[emoji1787][emoji1787]

Mdude Nyagali is hopeless.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wakikabiliwa na mashinikizo yenye kufanana kutokea kwa walamba asali na vibaraka zao, lile kongamano la kina Mwabukusi linazidi kutumbukiziwa nyongo.

View attachment 2771375

Hakuna ukumbi unaopatikana kufanyia shghuli hii. Kwamba heri kwenda kufanyia kongamano hili polisi kwa sababu vyama vya upinzani vimewakomalia?

Kwamba kwa vile ruzuku au ubunge si vipaumbele vyetu pana baina yetu tumeapa kupambana na kina Slaa, Mwabukusi, Mdude na wenzao hadi wa wakwame tu?

Beberu anao ujumbe murua kwenu:

"Shame on you!"
Mkifanya hivyo, mtakuwa mmewapa nafasi nzuri ya kuwakwamisha zaidi. Kukusanyika kituo cha polisi watakutumia kama mnakwenda kukiteka kituo.

Tumieni akili zaidi.
Haya siyo mapambano ya kijingajinga.
 
Mkifanya hivyo, mtakuwa mmewapa nafasi nzuri ya kuwakwamisha zaidi. Kukusanyika kituo cha polisi watakutumia kama mnakwenda kukiteka kituo.

Tumieni akili zaidi.
Haya siyo mapambano ya kijingajinga.
Hahahah nimecheka 😂😂😂 et mmeenda kukiteka kituo cha polisi 😂😂😂😂

Sema kwa bongo haishindikani kabisaa
 
Badala ya Kongamano linalohitaji Ukumbi badala yake ungefanyika mkutano mkubwa wa hadhara.
 
Waambieni kuwa Watanzania hatutaki ujinga wenu. Kama hamna la kufanya sisi tuko busy tunachungulia fursa
Fursa za IGA badowewe unamatumaini nazo?
Nyinyi waTanzania wa kundi lenu mtakuwa ni watu wa kipekee sana.
 
Hivi haya mapunbavu Mwakabusi na Slaa wanaendeshwa na hili pumbavu la mapunbavu kwa jina Mdude_Nyagali ? Shame on watu wazima kuendeshwa na kijana mropokaji matusi.

Waambieni kuwa Watanzania hatutaki ujinga wenu. Kama hamna la kufanya sisi tuko busy tunachungulia fursa

CCM na wapinzani uchwara Huwa na jambo moja tu in common: "maokoto."
 
Mkifanya hivyo, mtakuwa mmewapa nafasi nzuri ya kuwakwamisha zaidi. Kukusanyika kituo cha polisi watakutumia kama mnakwenda kukiteka kituo.

Tumieni akili zaidi.
Haya siyo mapambano ya kijingajinga.

Mkuu Ile haukuwa wito was kufanyia mkutano polisi. Slaa, Mwabukusi, Madeleka na wabobezi wengi ni far too smart kuto kuliona hili.

Itakuwa jemedali Mdude alimaanisha hata kama ni selo kongamano litaendelea.
 
Serikali inawatisha wenye kumbi, siyo kosa lao!
 
Back
Top Bottom