Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
jamaa kachora kamlalia mwenzake, hii si sawa haikubaliki kabisaWahi Lumumba kuna sherehe ya kufaa mtu huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa kachora kamlalia mwenzake, hii si sawa haikubaliki kabisaWahi Lumumba kuna sherehe ya kufaa mtu huko
jamaa kachora kamlalia mwenzake, hii si sawa haikubaliki kabisa
Rudia kusoma ulichoandika!!Hotel ya Sugu Iko Mbeya,mkutano uko Mwanza .Unaakili kweli?Wakafanyie kwenye ukumbi wa hotel ya sugu Desderia Hotel, yani mpaka Sugu kawatolea nje kwenye hotel yake,
😅😅Hela za Diaspora zimepata walaji ni kwanini wasifanye mkutano wa hadhara ambao hauhitaji kukodi kumbi za starehe.
Wakafanyie MbeyaRudia kusoma ulichoandika!!Hotel ya Sugu Iko Mbeya,mkutano uko Mwanza .Unaakili kweli?
Kafanyie nyumbani kwako kwani huna makazi hata chooni kafanyie nchi hii ni yetu sote usitubabaisheWakikabiliwa na mashinikizo yenye kufanana kutokea kwa walamba asali na vibaraka zao, lile kongamano la kina Mwabukusi linazidi kutumbukiziwa nyongo.
View attachment 2771375
Hakuna ukumbi unaopatikana kufanyia shghuli hii. Kwamba heri kwenda kufanyia kongamano hili polisi kwa sababu vyama vya upinzani vimewakomalia?
Kwamba kwa vile ruzuku au ubunge si vipaumbele vyetu pana baina yetu tumeapa kupambana na kina Slaa, Mwabukusi, Mdude na wenzao hadi wa wakwame tu?
Beberu anao ujumbe murua kwenu:
"Shame on you!"
Hii mental case ina wafuasi wa kutoshaWakikabiliwa na mashinikizo yenye kufanana kutokea kwa walamba asali na vibaraka zao, lile kongamano la kina Mwabukusi linazidi kutumbukiziwa nyongo.
View attachment 2771375
Hakuna ukumbi unaopatikana kufanyia shghuli hii. Kwamba heri kwenda kufanyia kongamano hili polisi kwa sababu vyama vya upinzani vimewakomalia?
Kwamba kwa vile ruzuku au ubunge si vipaumbele vyetu pana baina yetu tumeapa kupambana na kina Slaa, Mwabukusi, Mdude na wenzao hadi wa wakwame tu?
Beberu anao ujumbe murua kwenu:
"Shame on you!"
Kafanyie nyumbani kwako kwani huna makazi hata chooni kafanyie nchi hii ni yetu sote usitubabaishe
Hii mental case ina wafuasi wa kutosha
Kama yule jamaa wa Kenya anayesema “MPAKA USIKU”
kwanini wasifanyie barabarani? au kwenye viwanja vya wazi?Wakikabiliwa na mashinikizo yenye kufanana kutokea kwa walamba asali na vibaraka zao, lile kongamano la kina Mwabukusi linazidi kutumbukiziwa nyongo.
View attachment 2771375
Hakuna ukumbi unaopatikana kufanyia shghuli hii. Kwamba heri kwenda kufanyia kongamano hili polisi kwa sababu vyama vya upinzani vimewakomalia?
Kwamba kwa vile ruzuku au ubunge si vipaumbele vyetu pana baina yetu tumeapa kupambana na kina Slaa, Mwabukusi, Mdude na wenzao hadi wa wakwame tu?
Beberu anao ujumbe murua kwenu:
"Shame on you!"
0717237306Mwenye contact za Mdude, Mwabukusi au Dr Slaa ani pm
kwanini wasifanyie barabarani? au kwenye viwanja vya wazi?
Erythrocyte naye kawanyima pale hotelini kwake.....[emoji1787]Wakafanyie Mbeya
kwahiyo wao walikuwa hawana plan B? kweli unategemea polisi wa Tanzania watakukubalia icho kitu kirahisi tu?Huo si utakuwa mpango mwingine Sasa? Venue si huwa communicated wiki kadhaa kabla?
Ilihitajika uwezo wa kimalaika kuyabaini haya ya leo hata juzi tu.
kwahiyo wao walikuwa hawana plan B? kweli unategemea polisi wa Tanzania watakukubalia icho kitu kirahisi tu?
Si uandike basi kwa heshima ya uandishi?Pale ubalozi wa marekani kuna ukumbi pia mkubwa tu
Nilisema mambo mengi kipindi cha mwendazake ,wengi walisema kama wewe, that's nasema silazimishi mtu , hutaki au wataka shauri zenu, hamnilipi ,Mungu ?!!! [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Acha DELUSION komredi ha ha ha
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app