Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Bado umejitia upofu huelewi, watu walishahangaika huko sasa kuna wataalamu na dawa. Wewe nakupa ushauri unataka tena kunirudisha wakati uliopita. Haya katumie hayo mafuta ya taa + ndulele + majani ya moshi huku ukitumbukiza kidole ukeni.Ndio hizo ziliwafanya waishi kabla ya ujio wa hospitali na waliishi vizuri tu jiulize kabla ya ujio wa wageni kwani magonjwa kama marelia hayakuwepo au gono na kaswende ? Jibu yalikuwepo ila walikuwa wanatibiwa na dawa hizi hizi za asili ambazo leo unazidharau
Unapaka kwenye kidonda na unafunga na bandage hii dawa kazi yake ni kukausha hicho kidonda na kukufanyia upone pia inasaidia kuua bakteria waliopo hapo kwenye kidonda, ingawa inauma hivyo itabidi ununue na dawa za maumivuMkuu punguza jazba na matumizi yake je..
Napaka nje au nachana kidonda?
Kweli maana kama ndulele wameniambia wengi ila imegonga mwambaMkuu Kwa kutuliza maumivu , endapo upo mjini nenda hospital waambie wakuchome sindano ya ganzi wakati ukiitafta kesho. Dawa Kwa maana ya dawa ni ya kubahatisha. Hakuna dawa utasema ndio imekuponya mkuu
AseeWanawake wanayodawa ukichomeka kwenye k ya mwanamke kama dakika 4 tu kesho unapona
Pamoja mkuuUnapaka kwenye kidonda na unafunga na bandage hii dawa kazi yake ni kukausha hicho kidonda na kukufanyia upone pia inasaidia kuua bakteria waliopo hapo kwenye kidonda, ingawa inauma hivyo itabidi ununue na dawa za maumivu
NakaziaWanawake wanayodawa ukichomeka kwenye k ya mwanamke kama dakika 4 tu kesho unapona
Kifo kama ibada hatuwezi kulaumu,mungu akishapanga hutekeleza majukumu..12yrs back nilipata hyo shda, maza akawa ananipa pain killers tu mpaka usaha ulipojaa, akanunua surgical blade, usol, pamba, gloves na vingine nimesahau, kilichofata hapo nilinena kwa lugha. Sitausahau usiku ule. ENDELEA KUPUMZIKA KWA AMANI MAMA YANGU!
Hili tatizo dogo sana,watu wengi pamoja na wewe muhanga huwa mnateseka kwasababu yakuhangaika na dawa zisizofaa.Salaam wanajamvi, natumaini mko salama na kwa wale mliokatika mfungo, Mungu akawaongezee palipo pungua...