Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Kilipoanza kuvuta vuta ilitakiwa ujichanje na kiwembe kwenye hicho kidole hata mara 5 hivi uminywe damu zitoke mdudu huyo naye anakuwa ametoka kesho unaamka vizuri tu.
Vijana waliopita JKT kwa zile kazi za kulima kushika udongo mara kwa mara wamekuwa wakipatwa sana na adha hiyo.
Hilo la kuweka kwenye uke nimewahi kusikia inasaidia pia(ila sina hakika).
Vijana waliopita JKT kwa zile kazi za kulima kushika udongo mara kwa mara wamekuwa wakipatwa sana na adha hiyo.
Hilo la kuweka kwenye uke nimewahi kusikia inasaidia pia(ila sina hakika).