Mean While; Tanzania is Testing the SGR

Mean While; Tanzania is Testing the SGR

Reli ya kwanza ya umeme East and central africa hongera Tanzania, Misingi ya amani na umoja aliyoweka Mwl nyerere sasa imeanza kuota matunda, wengi walimcheka eti anapoteza wakati na siasa za kuondoa ukabila na ubepari tanzania eti heri angejenga magorofa, Leo wao wao wanaisoma namba
quote-you-cannot-develop-people-you-must-allow-people-to-develop-themselves-julius-nyerere-139...jpg
 
Ni lini Tanzania ilikuwa na reli ya upana wa SGR?
Umeshasema testing sasa cha ajabu nini? Umeshawahi ona crash test inavyofanywa? Huwa wanaweka binadamu kuangalia kama airbag inafanya kazi?

kama umewahi kufanya engineering project yoyote utaelewa kuwa kwenye system moja kuna sub-systems nyingi ambazo unatakiwa kuzitest moja moja.

Ni kwasababu wanatest mechanical na civil work ya reli.
achana na mpumbavu huyo,halafu ukute amemaliza na chuo kikuu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...kaa pembeni utulie...kaitwa kwenda kumtatulia matatizo yule kichaa...alifikiria uongozi ni ubabe unaweza kuutshia kw push ups...wacha aite watu wenye uelewa bana...msione wivu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]


Gavana wa country[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Gavana wa country na si county yuko chato.
 
Nikuletee testing ya bullet train hapa ujione km utaona huo uchafu mliouleta hapa...


Halafu unaniletea comparison za kijinga kwel...shule yenu hv inawafundisha kujadili mada hvo....
Au wewe niletee reli ya umeme ambayo imefanyiwa testing kihivo
Ni lini Tanzania ilikuwa na reli ya upana wa SGR?
Umeshasema testing sasa cha ajabu nini? Umeshawahi ona crash test inavyofanywa? Huwa wanaweka binadamu kuangalia kama airbag inafanya kazi?

kama umewahi kufanya engineering project yoyote utaelewa kuwa kwenye system moja kuna sub-systems nyingi ambazo unatakiwa kuzitest moja moja.

Ni kwasababu wanatest mechanical na civil work ya reli.
 
Ungeliongeza...8,albino eating nation
1) Most peaceful Nation
2) Very stable politically
3)Zero tribalism
4) Africa food basket
5) Fast economic growth
6) Highest Economic inclusiveness
7)Ability to carry out big projects using its resources
 
1) Most peaceful Nation
2) Very stable politically
3)Zero tribalism
4) Africa food basket
5) Fast economic growth
6) Highest Economic inclusiveness
7)Ability to carry out big projects using its resources
Hivi mnajenga na pesa zenu au vipi? 😂 😂 😂
 
Hamjui ukabila but mnajua uchawi, sindio?
Huku kwetu hatujui neno kabila. Ni watu wapumbavu pekee ndio wenye kuendeleza na kuthamini kabila. Kwetu tunatumia kabila kama kitu cha kutaniana tu.
 
1) Most peaceful Nation
2) Very stable politically
3)Zero tribalism
4) Africa food basket
5) Fast economic growth
6) Highest Economic inclusiveness
7)Ability to carry out big projects using its resources
1.4% economic growth
2. Very satanic nation( sorcery and albino eating)
3. Laziness
4. Economy that is driven by grants and donations.
5.The poorest nation in East and Central Africa


Go argue with your padlocks ( Makufuli) if you disagree with me.
 
1.4% economic growth
2. Very satanic nation( sorcery and albino eating)
3. Laziness
4. Economy that is driven by grants and donations.


Go argue with your padlocks ( Makufuli) if you disagree with me.
Hahahaha, very painful.
 
1.4% economic growth
2. Very satanic nation( sorcery and albino eating)
3. Laziness
4. Economy that is driven by grants and donations.


Go argue with your padlocks ( Makufuli) if you disagree with me.
Lazy Wakati wana lima na kuna chakula cha kutosha
Vipi nyie wachapa kazi mko na nini
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani maendeleo ya tz yanawakereketa sio kitoto
 
Lazy Wakati wana lima na kuna chakula cha kutosha
Vipi nyie wachapa kazi mko na nini
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani maendeleo ya tz yanawakereketa sio kitoto
Your laziness is known worldwide
 
4% economic growth.
Hahahaha,
1)We feed you
2) We are the source of your industrial raw materials
3)We are the fastest growing economy in the EAC
4)We pay out of pockets for our big projects
5) We have sufficient food for the next ten years

Hahahaha, hahahaha, hahahaha, hahahaha.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...kaa pembeni utulie...kaitwa kwenda kumtatulia matatizo yule kichaa...alifikiria uongozi ni ubabe unaweza kuutshia kw push ups...wacha aite watu wenye uelewa bana...msione wivu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]


Gavana wa country[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Gavana wa kauntri ameenda kujaribu kuomba lishe kwa mkulu
 
Back
Top Bottom